raamar
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 252
- 23
Jamani nipo seriously natafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae make nae maisha, mimi ni muajiriwa serikalini awe kati ya umri 17-22,mimi ni mrefu kidogo na ni maji ya kunde, so sihitaji chochote zaidi ya mapenzi ya dhati, kwa aliye tayari anicheki PM
Asanteni saaana
Asanteni saaana