Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

raamar

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
252
Reaction score
23
Mimi ni kijana mwenye kipato changu cha kutosha tu na nimeajiriwa Serikalini, nimejitokeza hapa kutafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae weza kuwa nae maishani, umri ni 17-22 uwe na kazi usiwe na kazi sawa, please kama unahusika njoo PM now.


Asanteni
 
mm ni kijana mwenye kipato changu cha kutosha tu na nimeajiriwa serikalini,nimejitokeza hapa kutafuta mchumba/MWANAMKE ntakae weza kuwa nae maishani,umri ni 17-22 uwe na kazi usiwe na kazi sawa,plz kama unahusika njoo PM nw.Asanteni

Usihofu Mkuu Utawapata Wengi Na Vuta Subira Ombi Lako Wanalishughulikia ILA Una Hela Mkuu AU Ndiyo Mpaka Usubirie Hizo Pesa Zenu Za Hazina Ambazo Zinaweza Zikawepo Na Zisiwepo? Mkuu Una Moyo Na Roho Ngumu Kwa Kufunguka!
 
Usihofu Mkuu Utawapata Wengi Na Vuta Subira Ombi Lako Wanalishughulikia ILA Una Hela Mkuu AU Ndiyo Mpaka Usubirie Hizo Pesa Zenu Za Hazina Ambazo Zinaweza Zikawepo Na Zisiwepo? Mkuu Una Moyo Na Roho Ngumu Kwa Kufunguka!

aaaaaah mkuu tatizo co pesa,mchumba akipatikana atawajuza humu ndani mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom