Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wadau poleni na majukumu. Mimi ni mwanaume umri miaka 31 naishi dar nimeathirika na vvu. Hivyo natafuta mke mwenye vvu ili tuishi kwa matumaini. Nimetafakari muda wa kuoa umefika.Nina afya njema...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Natafuta mchumba wa kuanzia miaka 27,awe mkristu,anajitambua.
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nauli, kula na posho ni juu yangu awe wa hapa Dar es salaam. Ambae yuko tayari ani PM namba zake nimuelezee ilivyo na aje nimuelekeze alipo.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
samahan wa love connect ,,, mchumba ameshapatikana naomba msinitafute tena na.ahsanten kwa ushirikiano wenu...nawapenda sana na Mungu awabariki. Tuzidi kuombeana mema zaid na zaidi.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari zenu wana Love Connect, Mimi kijana mwenzenu najitokeza hapa kutafuta mwanamke ili awe mchumba wangu Na badae tuje tuwe in familia, Mimi nimeajiriwa Serikalini na nipo Kanda ya Ziwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Body: Bantu Figure Age: 27 or less Color: white Kama upo serious ni PM
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Me ni mpenzi wa dona na vyakula vya asili sana, vicvyo kaangwa, mabagga, masoseji na maartificial yote kwang co upendeleo sana sifa zngne awe mwembamba na acwe mfupi tuwacliane pm kwa...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Natafuta mdada wa kumuoa,mimi kijana wa miaka 25,elimu yangu ni ya chuo.nimeajiriwa mwaka 2015 namtafuta binti wa kumuoa awe na sifa hizi :- 1.Awe Muislamu. 2.Mcha mungu na muuumini wa kweli...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimehangaika sana nikimtafuta mke wa maisha yangu kwa mda mrefu. Wengi walio jitokeza hawakuwa na nia ya dhati ajabu nimekutana na mtu ambae ananjia inafaa katika maisha yangu kwa njia ambayo hata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi ninaumri wa miaka 25 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 18-24 awe na sifa zifuatazo; -Mcha mungu na mwenye mapenzi ya kweli -Elimu 4-6 -Asiwe mnene sana -Sichagui kabila wala rangi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wote, Naomba nieleweke kuwa mimi nahitaji mwanamke mmoja (sio mke) kwaajili ya kutumia pesa nilizo nazo,nina hela kwakweli na pia zitamridhisha kwa muda mrefu tu japo siwezi kusema ni...
0 Reactions
105 Replies
8K Views
Habari za leo ndugu zangu, Mimi ni mkazi wa Arusha ila kwa bahati nzuri nimepata kazi mkoani Singida, kutokana na ugeni napenda kupata marafiki waliopo Singida mjini, na pia wawe watu wazima...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
1.Mwenye adabu na unyenyekevu. 2. Kujari na kuthamini familia na jamii kwa ujumla. 3 Elimu yaani mwenye kujitambua yy ni nani. 4. Mkarimu asiwe mkimya kimya awe mchangamfu kwa watu. 5...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mdada wa kitanzania wa kikiristo, ninahitaji mwanaume atakaeweza kuwa rafiki yangu mpenzi mume wa maisha na katika maisha. Awe mkristo, awe anajitambua kama mwanaume halisi, awe na mwili...
3 Reactions
44 Replies
5K Views
Natafuta mwanamke wa kuoa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao iliwanikeep busy katika kuondoaa huu upweke nilionao coz tayari nishatendwa yani sometimes mpaka nahisi akili inaganda coz of stress. But nimejuta mimi kupenda...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wakiume natafuta mchumba mwenye busura, asiwe Mkurya awe anajua kusoma nakuandika. Mimi nimeajiriwa serikalini elimu 4-6. Aliyetayari anitafute pm
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Marafiki wa ukweli, njoo tuchat sasa nitumie namba nitakutext moja kwa moja.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
A m a boy of 26 years old. Kama ukointerestedi njoo PM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za kazi wana jamvi wenzangu, Najitokeza hapa kumtafuta mwanamke ambaye tuje tuwe na malengo ya kujenga ndoa yetu.Mimi ni muajiriwa wa serikali na sijawahi kuoa na wala sina mtoto ndyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom