Mimi ni mdada wa kitanzania wa kikiristo, ninahitaji mwanaume atakaeweza kuwa rafiki yangu mpenzi mume wa maisha na katika maisha.
Awe mkristo, awe anajitambua kama mwanaume halisi, awe na mwili wa kawaida asiwe mwembamba, asiwe mrefu chini ya 160cm. Kwa yeyote mwanaume atakaefikiri tunaweza kufaana karibu PM tafadhari.
Awe mkristo, awe anajitambua kama mwanaume halisi, awe na mwili wa kawaida asiwe mwembamba, asiwe mrefu chini ya 160cm. Kwa yeyote mwanaume atakaefikiri tunaweza kufaana karibu PM tafadhari.