Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta msichana wa kubadilisha nae mawazo ila awe 29+ kuna mambo nataka kujua kabla sijaingia katika ndoa watoto please dont.
0 Reactions
1 Replies
798 Views
A very brief discription of mineAge- 36 yrs Status- divorced(forced- i will explain why) Occupation- engineer City- DSM Who i need- girls/mother above 27 yrs( awe anajishughulisha na chochote kile...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Jf natumai muwazima wote, Leo naja humu kwa lengo moja tu ni story ndefu ila jua moyo wangu uko na amani sasa kutokana na maumivu ya mapenzi kwa muda mrefu na sasa nimerudi kwenu , kwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike awe Moshi au Arusha miaka kati ya 18-25 kama yupo tayari anicheki whatsap 0759561434
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ur welcome lets chart through whats app 0716737730
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Habari wanaJf, Natafuta marafiki wa kuchati nao whatspp tu, ila wawe wenye kujielewa jinsia yeyote. Weka namba hapa au nipm.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nieleweke si mimi ni mtu wangu wa karibu anahitaji.Ni mwanamke btn 30 to 35 mrefu kias,i mweupe,mchaga,elimu diploma,mkristo mcheshi, mkarimu ana hofu ya mungu ,naishi Arusha mengine mtazungumza...
3 Reactions
70 Replies
9K Views
MIMI NI KIJANA WA MIAKA 21. NAJITOKEZA KATIKA UKURASA HUU KUTAFUTA RAFIKI WA KIKE AMBAYE KAMA TUTARIDHIANA, TUJE TUISHI PAMOJA KAMA MUME NA MKE HAPO BAADAYE. NASOMA MWAKA WA KWANZA CHUO FULANI DAR...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nina demu wangu lakini kwasasa hayupo nchini kwa takribani miezi sita na anatarajia kurudi nchini mwezi wa kumi mwaka huu. Katika kipindi chote hicho nimekuwa nikiishi bila...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau habari zenu, Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 31, nimepima afya na kukutwa nina maambukizi ya VVU.Natafuta mke wa kuoa mwenye maambukizi kama mm ili tuishi kwa matumaini. Sina masihara...
5 Reactions
42 Replies
4K Views
Naitwa Ernest natafuta mchumba msichana awe nimvumilivu awe nimuelewa. no yangu 0652689936.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Awe mcha Mungu na mwenye tabia njema. Aliye siriazi anicheki PM.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwanza natanguliza shukran zangu kwa mimi kuwa mgeni humu na kujiunga nanyi wenzangu na nimejiunga humu baada ya kugundua kuwa pana faida kubwa kuliko hasara. nahitaji mwanamke ambaye atakuwa...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 nahitaji msichana wa kubadilishana mawazo kama upo serious nipm sichagui kabila wala dini.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi guys mi ni kijana age 32 nemechoka kukaa mwenyewe nahitaji jiko now nipo mwanza ni mwajiriwa wa serikali.sichagui dini wala kabila aliye tayari. Tuwasiliane PM please.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi nipo kanisa la pentecoste Ruaha Kilombero, umri miaka 28, niambie kanisa ulipo nije tuonane wala hatuta ongea na kupatana humu Jf. Mungu akubariki
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina umri wa miaka 29,nina elimu ya Shahada,mkristo.Natafuta mchumba awe na umri wa miaka kati ya 20-27,mwenye upendo wa dhati,mcha Mungu(Mkristo) mengine tutayajadili baadaye. Kama unavigezo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi Ni Mtumishi Wa Mungu Na Ni Mchungaji Mtarajiwa, Ninatafuta Mke Mwema Wa Kuoa. Vigezo Awe Ameokoka Kwa Muda Usiopungua Mwaka Mmoja, Awe Anaabudu Makanisa Ya Kirohn, Awe Tayari Kuwa Mama...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari zenu waungwana humu, Mimi ni kijana ninayejitokeza kutafuta mchumba hapa, sifa zangu: Muislam. Mrefu kias.i Umri wng 22. Nimeajiriwa serikalini. Sivuti sigara wala situmii pombe. Mchumba...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Natafuta mwanamke wa kuchat naye kama upo ok nichek kwenye nyoniben2@gmail.com tushee ideal
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom