Habari za kazi wana jamvi wenzangu,
Najitokeza hapa kumtafuta mwanamke ambaye tuje tuwe na malengo ya kujenga ndoa yetu.Mimi ni muajiriwa wa serikali na sijawahi kuoa na wala sina mtoto ndyo natafuta mwanamke tuwe wapenzi
Awe na sifa zifuatazo;
-Awe ametimiza umri wa miaka 18-23
-Awe Muislam
-Awe anajitambua
-Elimu kuanzia IV na kuendelea
Nipo seriously kwa hilo na wala sio utani,kwa yeyote ambaye yupo tayari naomba ani inbox (PM)
Kwa wenye kujaribu tafadhari nafasi haipo.
Najitokeza hapa kumtafuta mwanamke ambaye tuje tuwe na malengo ya kujenga ndoa yetu.Mimi ni muajiriwa wa serikali na sijawahi kuoa na wala sina mtoto ndyo natafuta mwanamke tuwe wapenzi
Awe na sifa zifuatazo;
-Awe ametimiza umri wa miaka 18-23
-Awe Muislam
-Awe anajitambua
-Elimu kuanzia IV na kuendelea
Nipo seriously kwa hilo na wala sio utani,kwa yeyote ambaye yupo tayari naomba ani inbox (PM)
Kwa wenye kujaribu tafadhari nafasi haipo.