Mimi ninaumri wa miaka 25 natafuta mchumba mwenye umri kuanzia miaka 18-24 awe na sifa zifuatazo;
-Mcha mungu na mwenye mapenzi ya kweli
-Elimu 4-6
-Asiwe mnene sana
-Sichagui kabila wala rangi
-Awe na kaz(siyo lazima
-Awe tayari kuishi na mimi na awe tayari kupima HIV
SIFA NILIZONAZO
-Ni maji ya kunde
-Mrefu 172cm
-Elimu fom 4
Kwa aliyetayari aingie kwenye pm nipo serious na hili
Asante na kazi njema wana Jf
-Mcha mungu na mwenye mapenzi ya kweli
-Elimu 4-6
-Asiwe mnene sana
-Sichagui kabila wala rangi
-Awe na kaz(siyo lazima
-Awe tayari kuishi na mimi na awe tayari kupima HIV
SIFA NILIZONAZO
-Ni maji ya kunde
-Mrefu 172cm
-Elimu fom 4
Kwa aliyetayari aingie kwenye pm nipo serious na hili
Asante na kazi njema wana Jf