Msaada jamani hata wa mawazo stress zitaniua

Msaada jamani hata wa mawazo stress zitaniua

chichimizi

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2015
Posts
1,074
Reaction score
339
Natafuta marafiki wa kuchat nao iliwanikeep busy katika kuondoaa huu upweke nilionao coz tayari nishatendwa yani sometimes mpaka nahisi akili inaganda coz of stress. But nimejuta mimi kupenda jumla jumla.

Please please kiukweli walau hata mnisaidiee kwa mawazo tu

0713983878
 
Pole ila utulie kwanza mapigo ya shuke usijempata wa kuchat ukapitiliza kwa mahusiano nae badala ya kuchat tu.
 
hehehheeee...lepigoz..poleee,huu ndio mda wa kuwatumia marafiki zako wa karibu vizuri...
 
Natafuta marafiki wa kuchat nao iliwanikeep busy katika kuondoaa huu upweke nilionao coz tayari nishatendwa yani sometimes mpaka nahisi akili inaganda coz of stress. But nimejuta mimi kupenda jumla jumla.

Please please kiukweli walau hata mnisaidiee kwa mawazo tu

0713983878

Male au female....?
 
Mh! hii ishu isikie tu kwa mwenzako. Pole, chati na hao hao ulionao katika simu yako, ukiona huna cha kumwandikia ili muanze kuchati unaweza kuandika alama ya nukta mf; (.) halafu send lazima tu atauliza vipi hapo hapo mtaanza kuchati.
 
Acha utegemezi, loneliness ni hali ya akili. Haiwezi kuondoka hata ukiwa na watu. Tafuta njia za kujijenga na kujiamini kiakili. Usipende kutafuta suluhisho nje yako bali ndani yako
 
Natafuta marafiki wa kuchat nao iliwanikeep busy katika kuondoaa huu upweke nilionao

Hakuna kitu kinachoitwa upweke...

Hii ni dhana ambayo watu wavivu kimwili na tegemezi kifikra kama wewe mmeiibua tu...

Yaani ili ujihisi upo busy basi hadi uchat na marafiki?

Hivi hiyo nguvu kazi uliyonayo kwa nini usiielekeze kufanya mambo mengine yenye tija zaidi?

coz tayari nishatendwa yani sometimes mpaka nahisi akili inaganda coz of stress.

Hivi mnaolalamika kuwa mmetendwa, hao waliowatenda waliondoka na mioyo na uhai wenu?

Ulikuja duniani peke yako, unayokutana nayo juu ya uso wa nchi ni changamoto ambazo wewe si wa kwanza kuzipata...

But nimejuta mimi kupenda jumla jumla.

Una uhakika ulipenda?

Je una uhakika ulipendwa ulipopenda?

Kama huna uhakika kuwa ulipopenda hukupendwa kwa nini ujute hivi...

Na kama una uhakika ulipendwa ulipopenda kwa nini usitazamie kupendwa tena utapopenda...

Please please kiukweli walau hata mnisaidiee kwa mawazo tu

Utumwa wa hiari huanza pale mwanadamu anaposhindwa kujitegemea kifikra na kimwili...
 
Back
Top Bottom