Habari wana JF,
Nami wacha nitumie fursa hii kutafuta rafiki wa kike baada ya kuwa mpweke kwa zaidi ya miezi minne mimi ni mtumishi na nina miaka 30 naishi Dar.
Sifa:awe...
Naitwa emmi,nahitaji mwenza wa maisha miaka kuanzia 39-43 awe na siha njema mwenye muonekano mzuri awe mcha Mungu na awe mwenye kujishughulisha,kujiamini,awe na mtoto walau mmoja.Je wewe una sifa...
Nahitaji mke wa kuoa kama tukikubalina bada ya kuwasiliana,
Nahitaji awe Muslim kabila lolote pia umri wowote sio tatizo akiwa Dar-es-salam ni bora zaidi
awe na kibaruwa chochote.
Mimi nina...
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 28.Ni mfanyakazi na elimu ni shahada ya awali.
Dini yangu mkristo. mimi ni mrefu, sio mnene. rangi yangu maji ya kunde.
Najitokeza hapa kwa mara nyingine...
Mimi ni mfanyakazi idara ya fedha katika halmashauri flani hapa Tz, natafuta mchumba au mke wa kuoa ambae yupo tayari na awe ni muajiriwa serikalini pia.
Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kimojawapo hapa dodoma,nipo hapa kutafuta rafiki wa kike kutoka chuo chochote,hata kama sio mwanachuo nafasi ipo,npo serious katka hili dada...
Msichana mzuri na mrembo mwenye sifa zifuatazo anipm; education level:4m6 to bachelor degree
Age:18-23 religion:christian
Healthy status: not having HIV/AIDS
Virginity: you must have a virgin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.