chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
1.Mwenye adabu na unyenyekevu.
2. Kujari na kuthamini familia na jamii kwa ujumla.
3 Elimu yaani mwenye kujitambua yy ni nani.
4. Mkarimu asiwe mkimya kimya awe mchangamfu kwa watu.
5. Mwenye maadili kimavazi na maongezi yake.6. Mcha mungu.
7. Awe mvumilivu wakat wa shida na raha.
8. Awe na mapenzi ya dhati asiwe mpenda starehe tuu..pia ajue mapenzi ya kuniridhisha chumbani had nisimtaman mwingine.
9. Atambue wajibu wake kwa mme wake ndani ya nyumba kama kufua kupka na kuniongoza pale ninapoenda tofauti.
10.Asiwe mkorofi korofi yaaani wivu wa kijinga.
������ Vigezo vyangu hivyo alietayari aje inbox nikatoe mahari
2. Kujari na kuthamini familia na jamii kwa ujumla.
3 Elimu yaani mwenye kujitambua yy ni nani.
4. Mkarimu asiwe mkimya kimya awe mchangamfu kwa watu.
5. Mwenye maadili kimavazi na maongezi yake.6. Mcha mungu.
7. Awe mvumilivu wakat wa shida na raha.
8. Awe na mapenzi ya dhati asiwe mpenda starehe tuu..pia ajue mapenzi ya kuniridhisha chumbani had nisimtaman mwingine.
9. Atambue wajibu wake kwa mme wake ndani ya nyumba kama kufua kupka na kuniongoza pale ninapoenda tofauti.
10.Asiwe mkorofi korofi yaaani wivu wa kijinga.
������ Vigezo vyangu hivyo alietayari aje inbox nikatoe mahari