Natafuta girlfriend

Natafuta girlfriend

Mark Hughes

Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
15
Reaction score
0
Natafuta girlfriend awe mwanachuo Dar, mimi mwanachuo nina umri wa miaka 24, dini mkristo awe mkristo mwenzangu.
 
miaka 24 umesema eeh...nashindwa kujizua kukuhurumia kama usipompata, miaka 24 unamtafutia jf ukifika miaka 30 mh
 
Mtafute Iddrisa sultan akupe namba za Wema sepetu....
 
Kama unategemea boom tafuta wa form five ndo mtaendana, mapenzi yalikua zamani siku izi ni ngono na pesa.
 
Ndo shida ya kuku wa kisasa akifunguliwa kutoka kwenye banda anasinzia tu nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom