Habari wana JF?
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, elimu yangu ni chuo kikuu, nahitaji kuwa na msichana mwenye umri kuanzia 20-25 elimu yake kuanzia kidato cha sita, diploma hadi chuo kikuu...
habari zenu wapendwa!
naitwa Amiry Samiry ni kijana wa miaka 29 now
kabila langu Mbondei wa Tanga Muheza
Dini yangu Muislam.. ninafanya kazi Serengeti kiwanda cha bia Moshi mkoani Kilimanjaro...
As salaam alykum, amani ya mungu iwe nanyi, mimi nina miaka 32 elim yangu ni certificate ya ualim kwa sasa npo Dodoma chuo mwaka wapili nikisoma shahada ya ualim yaan najiendeleza kielim. Dini...
Wadau ni matumaini yangu kuwa wote ni wazima
Nikiwa na huzuni kubwa naandika uzi huu kwa lengo la kumuomba msamaha rafiki yangu wa utotoni na wa muda mrefu John (Ni jina lake halisi) kwa yote...
Habari wakuu,
Baada ya salamu ni wape pole na majukumu yenu,mimi ni mwanaume nina miaka 40 Nina watoto wawili (mama tofauti) kwa sasa niko single na nnaishi Zanzibar (CHRISTIAN) Watoto wako mmoja...
Kwa kuwa Moja ya kazi za mitandao ni kutuunganisha watu wa aina tofauti tofauti basi nami nitumie Hii nafasi adhimu nilyonayo
Natafuta msichana Mzuri wa sura pamoja na tabia ili niweze kumfanya...
Mrejesho :
Nashukuru kwa mlionidhihaki na maneno na matusi yenu but mi sio aina hiyo ya wasichana mnaodhani niliweka vigezo vile kupima ni aina gani ya wanaume waliopo Tanzania but nimegundua...
Sifa:
-Awe mchaga anayeishi Dar es Salaam
-Umri miaka 30-40
-Dini Mkristo Mlutheri
-Awe anajishughulisha au muajiriwa.
-Awe mweupe asiwe mrefu sana size ya kati.
Sifa zangu:
Ninafanya kazi Dar...
Habari za usiku wana jamvi
Rejea kichwa cha habari
Nmekuwa na uume mkubwa sana unakaribia nchi 10 ambayo na vigum kupata mwanamke wote wananiacha wakidai wanaumia wakati wa kujamiana kwhyo...
Mdogo wangu 22yrs amejiari yupo hapa dar es salaam anahitaji mume,kaniomba nimsaidie sifa ni zile tu za mwanamme ,please for the one who is serious pm me and I will let u contact her,asanten
Nahitaji mwenza ambaye atakuwa tayari kufunga ndoa soon.
Mwanamke ninayependa awe mke wangu awe na sifa zifuatazo.
Mwaminifu
Mkweli
Miaka 26-34
Mwenye shughuli ya kipato halali
Mkristo kama...
Hivi, hawa warembo ambao wanatafuta wachumba humu Jf mbona mimi nikiwatafuta hawarespond? Mimi ninahitaji kuwa na mwanamke, lakini hawa hawako serious!! Au wanafanya utani tu? Kwa mwanamke aliye...
Kuna kitu kinanikera sana, unakuta kijana kaja kwenye jukwaa hili kwa nia nzuri kabisa ya kutafuta mke, mchumba au rafiki wa kike lakin comments za matusi atakazopata toka kwa wanaume wenzie mpaka...
Natafuta Kaka mstaarabu mtulivu mwenye kujua utu na ubinaadamu wa kubadilishana nae Mawazo yaani kuchati na kushauriana kuhusu Maisha kwa ujumla.
Mengine kama mimi nani au namba ya Simu ni baada...
Looking for a handsome man aged 32_40..'He should be single and ready for something serious....Awe mrefu na sio mnene iiivo, ya awe na body zuri la mazoez....mwenye sifa hizo anitafute Dm...Iam 25...
Mwamkazeze,
Sijawahi kufanikiwa kupata mchumba humu tangu nianze kutafuta, Embu nioneeni huruma. Hata kama nna nyota ya bashite hii too much!
Kweli binadamu hawana huruma!
Tupendane jamani ht...
Wakuu
Uzi upo wazi kabisa na nipo serious kwelikweli kwani natafuta MWANAMKE ambae yupo serious na Mwenye kutaka mahusiano na hatimae kufikia hatua ya NDOA. Narudia tena nataka kuoa ...
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.