JAMANI NAOMBA MSAADA

tyudy

Member
May 3, 2017
9
3
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua

Lakini cha kushangaza ameanza tabia ya kunisingizia na maneno ya kwamba namnyanyasa na nina tabia mbaya ambayo mda mwingine naacha inaanza tena nikimuuliza nakunyanyasaje hanijibu anasema Sina cha kukujibu

Sasa Juzi kuna rafiki yangu alinipigia simu nikapokea akawa ananisalimia tu na wala si wa kike ni wa kiume lakini akinikatazaga kuwasiliana naye na alifuta namba yake kwenye simu yangu sasa jamaa kanipigia nikapokea tuu hapo akachukia na kuanza kuniambia ndiyo mnawasiliana ili kesho mkaonane muende kwa wanawake zenu na wakati huo mimi nasali hata tabia ya kutafuta wanawake sina

Ikafika jana bado amenuna Tuu nilipirudi kazini akaniambia naondoka nikamuuliza unaenda wapi akasema naenda kuongea huko namuukiza wapi hanijibu ila alichoniambia ni kwamba mimi nilikuwa kazini nikamuacha peke yake basi nikamwambia Kama unataka tuendage wote kazini

Basi nikamuuliza pia kwa nini umekasirika hivyo na unanijibu kama vile sio mme wako?
Akasema yaani wewe mwanaume mnyanyasaji na tabia zako nimezichoka na Kama una taka hao wanawake walete humu ndani tuwe tunaishi wote mmmmh wakati huo Sina mke mengine zaidi yake
Nikamuuliza swali la kwanza

Nakunyanyasaje na pia nina tabia gani hizo pia wanawake gani mbona sina nina wewe tu

Msaada jamani eti nifanyaje kwa hili
 
Kwa picha haraka haraka hapo ni kwamba humfikishi kileleni kwenye mapenzi!!! japo unampa hela sijui na nini lakini kwenye kufanya tendo pendwa unaonekana ni zero kama sio sifuri ndio maana anasema una mnyanyasa halafu hataki kuwa wazi, pia anahisi kwamba uzembe wako kwenye mapenzi labda unakuwa umeshafanya huko nje ndio maana ukija kwake una under perform
 
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua

Lakini cha kushangaza ameanza tabia ya kunisingizia na maneno ya kwamba namnyanyasa na nina tabia mbaya ambayo mda mwingine naacha inaanza tena nikimuuliza nakunyanyasaje hanijibu anasema Sina cha kukujibu

Sasa Juzi kuna rafiki yangu alinipigia simu nikapokea akawa ananisalimia tu na wala si wa kike ni wa kiume lakini akinikatazaga kuwasiliana naye na alifuta namba yake kwenye simu yangu sasa jamaa kanipigia nikapokea tuu hapo akachukia na kuanza kuniambia ndiyo mnawasiliana ili kesho mkaonane muende kwa wanawake zenu na wakati huo mimi nasali hata tabia ya kutafuta wanawake sina

Ikafika jana bado amenuna Tuu nilipirudi kazini akaniambia naondoka nikamuuliza unaenda wapi akasema naenda kuongea huko namuukiza wapi hanijibu ila alichoniambia ni kwamba mimi nilikuwa kazini nikamuacha peke yake basi nikamwambia Kama unataka tuendage wote kazini

Basi nikamuuliza pia kwa nini umekasirika hivyo na unanijibu kama vile sio mme wako?
Akasema yaani wewe mwanaume mnyanyasaji na tabia zako nimezichoka na Kama una taka hao wanawake walete humu ndani tuwe tunaishi wote mmmmh wakati huo Sina mke mengine zaidi yake
Nikamuuliza swali la kwanza

Nakunyanyasaje na pia nina tabia gani hizo pia wanawake gani mbona sina nina wewe tu

Msaada jamani eti nifanyaje kwa hili
Pole sana mkuu
Huyo mwanamke una muda gan nae kwenye ndoa? Na hiyo tabia ya kuwa na wanawake nje uliwahi kuwa Nayo?
 
Kimjazacho mtu ndicho kimtokacho. Elewa kuwa, baada ya kutomfikisha, amekuwa akikojolewa na rafiki yako. Kelele zote ni kukufanj=ya usimshtukie huyo jamaa.
Pili; huenda mjamzito. Hayo ndo mambo yao. Ila kweli, si mwaminifu. Mwambie kuwa, akukubali tu ulivyo
 
Kaa nae umuulize kwa upole tatizo nini!
Ila nawewe jichunguze tabia yako huenda kuna kitu kimebadilika anahisi unamcheat huko nje!
 
Kwa picha haraka haraka hapo ni kwamba humfikishi kileleni kwenye mapenzi!!! japo unampa hela sijui na nini lakini kwenye kufanya tendo pendwa unaonekana ni zero kama sio sifuri ndio maana anasema una mnyanyasa halafu hataki kuwa wazi, pia anahisi kwamba uzembe wako kwenye mapenzi labda unakuwa umeshafanya huko nje ndio maana ukija kwake una under perform
Pouwa nitalifanyia kazi
 
Kaa nae umuulize kwa upole tatizo nini!
Ila nawewe jichunguze tabia yako huenda kuna kitu kimebadilika anahisi unamcheat huko nje!
Hakuna nilichobadilika ndiyo namuuliza hanijibu lolote namnyanyasaje na pia nina tabia gani
 
Kimjazacho mtu ndicho kimtokacho. Elewa kuwa, baada ya kutomfikisha, amekuwa akikojolewa na rafiki yako. Kelele zote ni kukufanj=ya usimshtukie huyo jamaa.
Pili; huenda mjamzito. Hayo ndo mambo yao. Ila kweli, si mwaminifu. Mwambie kuwa, akukubali tu ulivyo
Kwa ujauzito hana labda hilo
Kimjazacho mtu ndicho kimutokacho nimekuwa nikimwambia mara kwa mara kwamba au unapenda kutoka wanaume wengine maana huwezi ukawa unaniambia nina tabia mbaya na wakafikisha sioni nina tabia gani mbaya
 
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua

Lakini cha kushangaza ameanza tabia ya kunisingizia na maneno ya kwamba namnyanyasa na nina tabia mbaya ambayo mda mwingine naacha inaanza tena nikimuuliza nakunyanyasaje hanijibu anasema Sina cha kukujibu

Sasa Juzi kuna rafiki yangu alinipigia simu nikapokea akawa ananisalimia tu na wala si wa kike ni wa kiume lakini akinikatazaga kuwasiliana naye na alifuta namba yake kwenye simu yangu sasa jamaa kanipigia nikapokea tuu hapo akachukia na kuanza kuniambia ndiyo mnawasiliana ili kesho mkaonane muende kwa wanawake zenu na wakati huo mimi nasali hata tabia ya kutafuta wanawake sina

Ikafika jana bado amenuna Tuu nilipirudi kazini akaniambia naondoka nikamuuliza unaenda wapi akasema naenda kuongea huko namuukiza wapi hanijibu ila alichoniambia ni kwamba mimi nilikuwa kazini nikamuacha peke yake basi nikamwambia Kama unataka tuendage wote kazini

Basi nikamuuliza pia kwa nini umekasirika hivyo na unanijibu kama vile sio mme wako?
Akasema yaani wewe mwanaume mnyanyasaji na tabia zako nimezichoka na Kama una taka hao wanawake walete humu ndani tuwe tunaishi wote mmmmh wakati huo Sina mke mengine zaidi yake
Nikamuuliza swali la kwanza

Nakunyanyasaje na pia nina tabia gani hizo pia wanawake gani mbona sina nina wewe tu

Msaada jamani eti nifanyaje kwa hili
Kama ni mjamzito mpuuzie tu ni kawaida yao, kama hana mchape makofi mawili matatu akili imsogee
 
Pole sana mkuu
Huyo mwanamke una muda gan nae kwenye ndoa? Na hiyo tabia ya kuwa na wanawake nje uliwahi kuwa Nayo?
Mwaka mmoja sasa sikuwahi kuwa na tabia ya wanawake nje maana tuliwekeana ahadi tangu mwaka 2014 tulivyomaliza form four akaenda chuo cha nursing nami nikaenda form five nilipomaliza form six tukaanza harakati za kuishi pamoja na mpaka sasa ndiyo tuna mwaka mmoja na hiyo tabia sikuwa nayo
 
Kwa ujauzito hana labda hilo
Kimjazacho mtu ndicho kimutokacho nimekuwa nikimwambia mara kwa mara kwamba au unapenda kutoka wanaume wengine maana huwezi ukawa unaniambia nina tabia mbaya na wakafikisha sioni nina tabia gani mbaya

Mkuu;
Sipigi ramli chonganishi wala sikujui useme ukimtema nitaokota ganda la muwa lakini, mhhh. Hesabu mapato yako ya jioni
 
Nimeoa Nina mke na nina mpenda kila kitu nampa na isitoshe mshahara wangu ukitoka huwa namwambia na tunapanga bajeti yetu tunaenda wote Bank kutoa hela na ananiambia chukua na rist nachukua

Lakini cha kushangaza ameanza tabia ya kunisingizia na maneno ya kwamba namnyanyasa na nina tabia mbaya ambayo mda mwingine naacha inaanza tena nikimuuliza nakunyanyasaje hanijibu anasema Sina cha kukujibu

Sasa Juzi kuna rafiki yangu alinipigia simu nikapokea akawa ananisalimia tu na wala si wa kike ni wa kiume lakini akinikatazaga kuwasiliana naye na alifuta namba yake kwenye simu yangu sasa jamaa kanipigia nikapokea tuu hapo akachukia na kuanza kuniambia ndiyo mnawasiliana ili kesho mkaonane muende kwa wanawake zenu na wakati huo mimi nasali hata tabia ya kutafuta wanawake sina

Ikafika jana bado amenuna Tuu nilipirudi kazini akaniambia naondoka nikamuuliza unaenda wapi akasema naenda kuongea huko namuukiza wapi hanijibu ila alichoniambia ni kwamba mimi nilikuwa kazini nikamuacha peke yake basi nikamwambia Kama unataka tuendage wote kazini

Basi nikamuuliza pia kwa nini umekasirika hivyo na unanijibu kama vile sio mme wako?
Akasema yaani wewe mwanaume mnyanyasaji na tabia zako nimezichoka na Kama una taka hao wanawake walete humu ndani tuwe tunaishi wote mmmmh wakati huo Sina mke mengine zaidi yake
Nikamuuliza swali la kwanza

Nakunyanyasaje na pia nina tabia gani hizo pia wanawake gani mbona sina nina wewe tu

Msaada jamani eti nifanyaje kwa hili


JIBU NI RAHISI, UNAMUENDEKEZA SANA, NA HILI LIPO WAZI, USIMPE NAFASI YA KUKUCHEZEA KIASHI HICHO, JITAHIDI KU M IGNORE NA HUO UPUUZI WAKE, USIWE MNYONGE, BE A MAN, TAKE A POSITION. NAJUA ANA SILAHA YA KUKUPIGIA, WATU WANAOLALAMIKA MARA NYINGI WANABANIWA SEX, NA SILAHA YAKE, USIMWENDEKEZE, BILA SEX PIA YAWEZEKANA. VUMILIA KWA MDA, WEKA MSIMAMO KWENYE MASWALA YA MSINGI.
 
Hebu jari u Ku practice some of tabia mbaya. Like chelewa kurudi nyumbani,akikuuliza mwambie nakwepa kisirani chako. Maana hicho ni kisirani tu

KAMA NA HIYO GATI, THIS INGEKUWA A VERY GOOD SOLUTION. JAMAA ANAMWENDEKEZA NA MWANAMKE ATAMNYANYASA MPAKA AJITAMBUE.
 
tyudy akili za kuambiwa changanya na za kwako (J.K.)
Hilo nalijua Sana kaka lazima nichambue lipi la kunijenga na lipi la kutonijenga

Kwa swala la kumpiga huwa akikuta ni kama nimechukia utasikia ukinipiga tu namwambia bosi wako tuone Kama utaendelea na kazi na ni kweli nikithubutu kumpiga akienda kwa bosi lazima nishitakiwe na kuweka tabia mbaya kwa bosi wangu kwamba nampiga mke wangu ndipo nakuta mmmmh nikimzaba kofi ataenda kwa bosi so nabaki kunyamaza tu
 
Thanks kwa muliotoa ushauri ushauli wenu mzuri but it's to what can be a solution to me thanks too
 
Hilo nalijua Sana kaka lazima nichambue lipi la kunijenga na lipi la kutonijenga

Kwa swala la kumpiga huwa akikuta ni kama nimechukia utasikia ukinipiga tu namwambia bosi wako tuone Kama utaendelea na kazi na ni kweli nikithubutu kumpiga akienda kwa bosi lazima nishitakiwe na kuweka tabia mbaya kwa bosi wangu kwamba nampiga mke wangu ndipo nakuta mmmmh nikimzaba kofi ataenda kwa bosi so nabaki kunyamaza tu
In short anakuendesha. Na mwanamke wa dsain hizi akikaa na wenzie anasema mume wangu nmemshika kiganjani hafurukuti. Mpeleke kwanza kwao akake Hata miezi mi3 kwanza. Huoni umuhimu wa kitu mpaka ukipoteze,atajifunza. Na Kama hujaoa basi Fanya uachane tu Maana Kama umemaliza shule 2014 mmh. Balehe inamsumbua huyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom