Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
bint wa miaka17-27 mwenye tabia nzur na aliye tayar kuolewa tuwacliane, nina 29yrs .In addition nipo mwanza
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Hallow wana Love Connect. Nahitaji love kutoka kwa binti anayejitambua na anayetambua thamani ya mapenzi. I'm 27 yz, niko dar kwa aliye serious anakaribishwa PM.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mimi mwanaume miaka 32 naishi Dar. Nahitaji mwanamke umri kuanzia 18yrs hadi 40yrs awe mkazi wa Dar. Karibu PM mpenzi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume, nina miaka 28 nina kazi yangu (mwajiriwa). Natafuta mwenzi wa maisha. Awe mkiristo, hasa Kanda ya ziwa. Umri 22-30 na asiwe mlevi. Karibuni.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 natafuta mke wa kuoa awe na elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea aliye interest tuwasiliane pm
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Halloo wanajukwaa, hope mko poa, Mimi ni kijana wa kiume nina miaka 29 na nina maisha ya kawaida nipo Arusha, natafuta mchumba atakaye kuwa mke, vigezo: awe anaishi Arusha, awe na umri kuanzia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
mm ni kijana wa kiume nina miaka 30 nahitaji mke mkweli na mwaminifu awe mkristo ,awe mweupe na awe na miaka 19-25 namba yangu ni 0766971149
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Awe na miaka kuanzia 30 and above. Nawasilisha
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mim nkijana wa miaka 25 mkristo, napenda music, kufanya mazoezi elimu yangu degree,...... natafuta mpenzi mwaminifu, mwenye mapenzi ya dhati, mkarimu anayejua nn maana ya mapenzi mungu akijalia...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiriwa natafuta mchumba wa kuoa aliye na umri kuanzia miaka 23 mpaka 26. Aliye interest tuwasiliane kama hii post haikuhusu ipotezee tu.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi nikijana wa miaka 25 nimuajiriwa natafuta mchumba ambaye ana kazi ili tuweze kusaidiana katika Maisha sichagui kabila wala dini awe na umri kuanzia miaka 20 mpaka 24 kama utakua upon tayari...
0 Reactions
1 Replies
881 Views
Mimi mwanaume miaka 32 naishi Dar. Nahitaji mwanamke umri kuanzia 18yrs hadi 40yrs awe mkazi wa Dar. Karibu PM mpenzi
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Mijitu mingine imeona humu ni sehem ya kufanya majaribio yaan hayapo serious
0 Reactions
11 Replies
870 Views
Mimi ni kijana wa kitanzania ninatafuta mchumba, mimi ni mfanyabiashara wa madini nina pesa, nyumba, gari na kila kitu ambacho mtu anapaswa kuwa nacho katika maisha, tatizo tu natafuta mchumba aje...
3 Reactions
95 Replies
6K Views
Naitwa Monilite, Natafuta marafiki wa jinsia zote wa kushauriana mambo tofauti katika maisha ya kila siku Sichagui kabila Umri 26 - 30 Awe anapatikana dar es salaam Alie tayar aje PM
1 Reactions
13 Replies
1K Views
awe mfanyakazi au mjasiriamali, umri kuanzia miaka 35 mpaka 50 sichagui dini wala rangi alie tayari ani PM tutaongea zaidi mimi ni mfanyakazi
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mm ni kijana (kiume) wa kitanzania niko morogoro. Natafuta marafiki wa kike/mchumba. Aliye tayari tutazungumza kupitia 0629160442. Nina miaka32,nahitaji marafiki/mchumba kuanzia 24-30 kwa wanawake tu.
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Mimi mwanaume miaka 32 naishi Dar. Nahitaji mwanamke umri kuanzia 18yrs hadi 40yrs awe mkazi wa Dar. Karibu PM mpenzi
0 Reactions
8 Replies
778 Views
Mimi ni kijana umri 30 nahitaji mwanamke umri 25-30 asie na mtoto kama ana mtoto basi mzazi, mwenza labda asiwe duniani maana akiwa hai atapoteza sifa ya kinyang'anyiro. Karibuni elimu sio lazima
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Back
Top Bottom