kimsingi nimemisi kitu cha msingi sana,mpaka nahisi akili zimevurugika.nilivyokuwa mikoani nimewahi kumiliki kademu kangu kalembo kalikuwa kananitunza ila kwa sasa kameshaolewa
Sasa...
Kama heading hapo juu inavyo sema mimi ni kijana ninae ishi mikoa ya kanda ya ziwa.
Nimuaiiliwa serikalini na elimu yangu ni shahada, dini ni mkristo, umbo langu si mnene wala si mwembamba na...
Habari zenu,
Maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi...
Hi! I'm a lady of 28 years, I'm here to look for a husband.
I'm masters degree holder, TPA worker , polite and humble lady. I'm virgin.
I like children, reading, visiting sick people in...
Salut a tout le monde!!
Aged 35, tall, average weight, christian, graduate, employed etc.
Uwe:
max 30, graduate(preferred), tall (not less 170cm), average weight, no kid(s), stable income etc...
Habari wana jf,
Kama kichwa kinavojieleza hapo juu, Mimi ni kijana wa kiume nafanya kazi ktk private sector.
Kipato changu na maisha yangu ni vya kawaida.
Kwa sasa naitaji Mchumba wa kujenga...
Mimi ni mwanaume, nna miaka 28 nna kazi yangu (mwajiriwa). Natafuta mwenzi wa maisha. Awe mkiristo, hasa kanda ya ziwa. Umri 22-30 na asiwe mlevi. Karibuni.
Nina umri wa Miaka 23
Nasoma Shahada ya Udaktari
Mwaka wa Pili
Niko Dar es salaam
Natafuta Rafiki wa Kike
Umri awe 18-21
Sibagui Dini
Awe anaishi Dar es Salaam
Awe mwanachuo wa chuo chochote
Awe...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 31 natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:
Umri 20+
Elimu: Kidato cha nne na kuendelea
Urefu: 173 cm na kuendelea
Dini: Mkristo
Mwenye sifa anitumie...
habari ya weeked!!!
katika kuadhimisha siku hiyo hebu tukumbuk kidogo huko nyuma tulipokuwa wadogo (watoto) kama wa kiafrika.
je ni jambo gani utawashukuru , pongeza, laumu au hata kuto kusahau...
Serious girl friend is needed
Location:dar es salaam, morogoro & dodoma
Age:21-40
Job:she must be working or business lady
Language:English & swahili.
Any one who is ready just pm!!!!
Kumekuwa na matukio mengi sana siku za karibuni na yakizid kuongezeka kadri siku znavyokwenda. Matukio haya yamekuwa yakitokana na kukosekana kwa uaminifu kwny ndoa. Lakini kitu cha kushangaza...
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya...
AS TOPIC says...I NEED a man mentioned there if you are
there with no one just turn this way!I WANT a person whom we can settle down and start a family together.
The fist thing he must agree for...
Jamani kama thread inavyojieleza...I am looking for 'my beautiful Miss' that i will later make her 'my Wifey'! Jamani wadada changamkieni fursa hii, ni adimu sana kumpata kijana kama mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.