Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Asalam aleykum wana jF natafuta mchumba wa kumuoa sifa (1) awe anajua ugumu wa maisha (2)awe na elimu yoyote tu (3)kabila awe mmakonde,mmwera,mzaramo,myao,mmakua,yatapewa kipaumbele au kifupi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimekuwa single kwa muda sasa,mimi ni ME natafuta rafiki wa kike wa kubadilishana nae mawazo, dini yoyote na umr wowote kikubwa ajitambue.. Naishi DSM, kwa ambay yuko tyr anakaribishwa PM.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
  • Closed
Umri ndo huu umefika, sikutaka kukurupuka kuja hapa kuandika maana kuna kuna wengi wenye kutafuta waume niliona isiwe shida ya nami kuandika niliwafuata baadhi ya wale niloona wana vigezo...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Toka nijiunge humu galz wahumu siyo wakuoa wala kuolewa wamekaa kimajungu na kingono ngono muda wote wanawaza kugegedwa tu na wote wapo jukwaa hili la mapenzi siwaoni hata majukwaa ya muhimu wao...
2 Reactions
101 Replies
8K Views
Jamani wana jF natafta mchumba mwenye kujua nini maana ya mapenzi maana tangu nimeyajua mapenzi bado sijapataga mtu alie tulia kwni wote ninaowapata wengi huwa waongo sana leo atakuahidi hivi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni msichana miaka 26 naishi na VVU ukiniona huwezi kujua mpaka nikwambie, natafuta mwanaume mwenye hali kama yangu tuoane miaka27 mpka32 awe na kipato cha kuhudumia familia, awe anajipenda...
21 Reactions
32 Replies
4K Views
I'm Edith, nina miaka 26. I have a degree Natafuta mume WA kunioa. Mwanaume WA until miaka 35-40. Aliyeko serious ani pm.
8 Reactions
65 Replies
5K Views
Nalipanda hili jukwaa tena kwa heshima zote na taadhima, ni wengi wameleta maombi yao humu ya kutafuta mwenzi wa maisha na wamefanikiwa, Na mm sio ajabu nikirudia ombi langu humu, natafuta mke...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati. Sifa zangu: Sina mtoto Sijawai olewa Nimewai kuwa na mahusiano Elimu kidato cha nne Sio mnene wala sio mwembamba Rangi...
18 Reactions
171 Replies
17K Views
Naitwa John natafuta wasichana wa kuchart nao whatsapp wa kubadilisha mawazo kwa aliye tayari tukutane whatsapp namba yangu 0714540040
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Natafuta mchumba wa kike aliye sereous, Umri 26yrs Elimu: kidato cha sita na kuendelea asiwe tegemezi dini: awe mkrsto
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Habarini! Mimi najitokeza kwenu Leo hii kwa mara yangu ya Kwanza kumtafuta mchumba ambae 1.Ana hofu na MUNGU, Mimi ninampenda yesu. 2.MKRISTO km sio mkristo usinipm please ,me ni muaglicana...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Mimi ni me, nahitaji narafiki Wa kike kutoka mkoa wa Iringa, mbeya na morogoro wakuchat umri kuanzia miaka 23 hadi 30.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni raha ilioje kupendwa unako penda? Mungu atubariki sana.
1 Reactions
2 Replies
771 Views
Come in box To chat, Female only watapata kipaumbele
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama wewe unahisi kuwa unaweza kuwa mke mwema karibu PM kwa kufahamiana zaidi..naishi Dar.... Mengine utayajua ukija PM Ukija PM acha namba nitakupigia..
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Refer The Head Above Nina Miaka 24 Home Dar But Now Nipo Dom Vile Vile I'm Single Boy Nawakarbsha Kwa Pm
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hello! Habari za wakati huu wapendwa, Niko hapa kwa ajili ya kutafuta rafiki ambae tukifikia maafikiano tunaweza kundelea na process za uchumba mpaka ndoa. Sifa za anayetafutwa:- Kijana wa...
9 Reactions
41 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, natumai hamjambo kabla ya yote ningeomba tusaidiane hili la kutafuta wachumba kwamba asilimia kubwa ya wanaume wakitafuta wachumba hua wanazungumzia sana tabia nzuri na hofu ya...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Awe na umri miaka 35+ mkoa awe anaishi Tanga mpaka akhera awe na watoto sio chini ya wa5 Kuhonga sijui kusema kweli, Awe na makalio yasio pungua Tani 6, Awe na rangi Ya kijani uzito wake wa mwili...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom