Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu.
-Mimi ni kijana wa kiume, mwajiriwa private sector, sijawahi oa wala kuwa na mtoto, umefika mda nimeamua niwe na mwenza atakayekuja...
Rafiki later wife anahitajika
Awe mkristo, umri 22-26!!
Elimu astashahada-stashahada.
Awe muajiriwa au amejisjir.
Asiwe mnene au Mwembamba saizi Ya Kati.. Rangi YA maji YA kunde.. Urefu...
Wasalaam!
Kutokana Na malalamiko mengi mengi ya mahusiano Nimegundua ya kwamba matatizo mengi yanatokana Na wanaume.
Kwanza kabisa Ni kutojali kwao pia Na kuwachukulia wanawake kama vyombo vya...
Oops! stop what you thinking! Am not singing P. Diddy's hit song 'I need a girl' , but am seriously in need with one. If you have checked out my previous posts you would have noticed that this is...
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye...
Mm kijana 27 yrs, kwa Mahusiano ya KImapenzi & friend with Benefits (FWB) tu!
Uwe HIV neg...
Uwe na Good hygene...
Nipo SUMBAWANGA
walipo huku watapewa Kipaumbele Zaidi
Habari wakuu..
Napenda kuweka wazi kwamba nahitaji mwanamke wa kuanza naye maisha siyo kupotezeana muda kwani kama ni muda nimeshapoteza sana.
Naomba awe na sifa zifuatazo:
Sibagui. Dini...
Habari zenu.....
Nahitaji marafiki wa kuchart,nina stress mno,nahisi kwa kufanya hivyo kutanipunguzia mawazo...
Mimi ni msichana nina 25 yrs...naishi Dar es salaam...
Jinsia yeyote sibagui....njoo...
Hi,
I'm up looking for a life partner who will be my future wife. I’m 27 years old guy from Dar es Salaam looking for someone who is between 20-25 years.
She must be christian, with college...
Am a man aged 32, single and a civil servant. Education: degree holder.Tribe: sukuma. Color: black but not typical black. Height: neither short nor tall.
Mwanamke anaehitajika: Mrefu wa wastani...
Habari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Ninafanya kazi kwenye moja ya...
Looking for a girlfriend aged 20-25yrs,, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,, natafuta rafiki wa kike,, kwa aliye tayari anicheki kwa simu Namba 0744554155.. Dini Yeyote, elimu Yeyote..
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 mwajiriwa wa serikalini natafuta binti mwenye umri wa miaka 23 -26 kwa lengo la kuanzisha familia aliye serious.
Tuwasiliane pm tafadhali!
Good day, habari zenu wana Jamii Forums.
For a time now nimekuwa Single but Now its a perfect time kuwa na mtu ambaye tutatengeza Family. I'm very serious on this na kama kweli unatafuta mwenza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.