Ukipata unigawie
Hiyo ni pure!Ukigaiwa Naomba unikumbuke Kwenye makanikia
Hiyo ni pure!
Ili kuepusha mvutano
Cc Miss Natafuta
Nadhani huyu atakufaa mkuu
Mkuu, minataka kuwowa....kwahiyo kuwowa hutakiii we awe mpenzi tu haya mkuu kila la kheri

nafasi imeshajaa me nimeshawolewaMkuu, minataka kuwowa....
Vipi nafasi haija jaa..?
Lakini sitaki makinikia tafadhali....![]()
![]()
Duhhhh......nafasi imeshajaa me nimeshawolewa


unatafuta mpenz akati watu wanaangaika na kutafuta pesaaa asee......we endelea kutafuta mpenzi maana hata umri wako unaruhusu ila ukitaka wa haraka nenda kule FACEBOOK kule ndio utapata wa haraka....natafuta mpenzi....on my foot

