Leo Februari 21, 2026 Makamamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameandika katika ukurasa wake wa X kuwa amezuiwa kumwona Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu alipokwenda kumtembelea katika...
Vijana hawana Kazi licha ya kua wana Elimu.
Vijana wameshuhudia wenzao Walotekwa, kuuliwa .
Vijana wanashuhudia Viongozi, WATOTO wao na familia zao kwa ujumla wakiendesha magari ya mabilion...
Inaelezwa kwamba amechukuliwa na watu wanaoitwa Wasiojulikana na kupotezwa.
Ikiwa bahati ya mtende basi tutaokota maiti Yale kama tulivyookota ya Bajoo, Au kama ilivyo kawaida itakuwa kwaheri ya...
Idara ya usalalama wa taifa makini ni ile ambayo inamuambia rais aliyepo madarakani ukweli.
Kama raia wanamchukia kwa ufisadi na mambo yasiyofaa anaambiwa ukweli.
Sio kumdanganya kuzunguka na...
Kwenye Msiba wa Jenista Mhagama mliruhusu viongozi wa serikali kuhutubia Madhabauni, Haikuwa sahihi hata kidogo.
Viongozi wengi wa serikali wamejaa Dhambi za wazi kabisa ikiwemo Utekaji n.a...
Hamjambo Watanzania wote!
1. Nilipendekeza mbinu kadhaa za kudhibiti maandamano huku mbinu kuu niliyoitoa ni kupiga Lockdown ( Curfew). Hii mbinu ni kabambe na ikipigwe ni ngumu kufanya...
Wakuu,
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (#CHADEMA), Brenda Rupia ameyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Februari 21, 2026.
Wakuu,
Akiwa anazungumza leo na wanahabari Mkurugenzi wa Mawasiliano CHADEMA Brenda Rupia amesema kuwa CHADEMA hawaitambui tume ya kuchunguza yaliyotokea Oktoba 29 kwani imejaa CCM na hata...
Hii Ofisi ikifutwa ni nini kitakosekana kwenye siasa za Tanzania?
Naona kuwa na ofisi hii pamoja na waajiriwa wake ni ufujaji wa pesa za maskini walipa kodi wa nchi yetu.
Mjumbe wa Baraza la Chama cha Wananchi (CUF), Mohammed Ngulangwa, pamoja na wenzake wawili, wamejikuta wakishikiliwa na Jeshi la Polisi na kutolewa nje ya kikao kinachoendelea cha baraza la chama...
Ni muda mrefu sasa (yapata miezi 3) tangu kifungo cha JF kifike tamati lakini bado wahusika hawajaiachia 💯 %. Tukumbuke kuwa JF ilipigwa ban ya miezi 3 tangu September 2025 na hiyo ban ilipaswa...
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa CHADEMA, Brenda Rupia akiongea na waandishi wa habari leo Februari 21, 2026 amesema kama chama wanasikitishwa na hawataacha kukemea na matukio ya utekaji na...
Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Zanzibar kuwa mstari wa mbele kulinda, kuuenzi...
Wamarekani bado wametukalia kooni, hawapoi wala hawaboi.
Jeanne Shaheen a senior US senator from New Hampshire.
=============
The violent suppression of opposition voices before & after...
Hatimaye Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewatoa hofu Watanzania kuhusu afya yake kwa kueleza kuwa anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa...
Mradi
Taarifa
Aina za madini
Dhahabu, fedha, shaba, chuma, madini ya ujenzi, madini ya viwandani, madini ya vito
Idadi ya leseni hadi Juni 2025
2,288 (uchimbaji, utafiti, uchenjuaji, biashara)...
Wakuu,
Hebu njooni hapa tujadili huyu jamaa sanamu lake tulijenge wapi
===
POLISI TUACHENI TULE BATA
Haya yamesemwa na miongoni mwa wananchi wa mji wa Musoma katika mkutano wa Mbunge wa Musoma...
Hakuna kosa ambalo kikundi cha utekaji cha Mafwele kitajutia kama kunipeleka kwenye ngome yao, kujionea unyama wao, bila kuficha nyuso zao, chini ya usimamizi wa Mafwele mwenyewe aliyekuwa akinipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.