Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ripoti ya CAG si habari mpya ni uthibitisho wa uzembe na ufisadi uliokithiri. Fedha za umma zinapotea, wananchi wanabaki na hospitali zisizo na dawa, shule duni, na miradi hewa. Bila uwajibikaji...
1 Reactions
2 Replies
36 Views
Anawasifia mchana usiku anataka maini Yao Ila Israel mtoa roho! Naandika mimi sasa ✍🏻✍🏻✍🏻 Yeye Yule ambaye alitukanwa sana kwenye korido za Nyumba nyeupe mithiri ya Meli, pale kwenye Shombo...
92 Reactions
444 Replies
59K Views
https://www.youtube.com/live/y2tNlsDr__w?si=9IPAOA2qmJC0XXky
0 Reactions
3 Replies
50 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza akiwa Kata ya Chang'ombe Wilaya ya Songwe kwenye mkutano wa hadhara amewaasa Wanaume kutokimbia majukumu yao ya kutoa matunzo kwa...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Oktoba 2025 Kura yangu sahihi nitampigia Dr Samia na wagombea wote watakaopitishwa na vikao halali vya Chama Cha Mapinduzi CCM. Lucas Mwashambwa Lucas mwashamba ChoiceVariable Tlaatlaah
10 Reactions
132 Replies
4K Views
Nimefuatilia kwa karibu miradi mingi ya serikali inayowapa makandarasi wazawa, haina fedha. Matokeo yake makandarasi wa kitanzania wameanza kukataa miradi ya serikali. Miradi hii inaambatana na...
10 Reactions
46 Replies
743 Views
Wakuu, Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2026, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuanza utaratibu wa kuyaanika hadharani mashirika na...
4 Reactions
43 Replies
637 Views
OCTOBER 30: USO KWA USO NA BUNDUKI. Anaandika: Robert Heriel Mtibeli. 1. Nitafupisha Sana kadiri iwezekanavyo maana wasomaji wangu wengi wenu hampendi vitu virefu. 2. Usiku wa tarehe 29...
4 Reactions
25 Replies
873 Views
Tunaambiwa hawa Moodys wamekuja kutathmini hali yetu ya kukopesheka, hii maana yake ni nini? Mtu ambae hakopesheki ni yupi na mtu anaekopesheka yukoje? Kwa uelewa wangu, mtu anaekopesheka ni...
10 Reactions
91 Replies
5K Views
Nafikiri suala hili amuulize G. Msigwa ndiyo Katibu Mkuu mwenye Dhamana ya viwanja vya michezo Tanzania, anaweza jua Bajeti ya Bilioni ngapi imetengwa, au Mkataba wa Bilioni ngapi umesainiwa na...
0 Reactions
1 Replies
80 Views
Sasa kwanini mnaendelea kulalamika sasa? tulizeni vichwa sasa sio kelele nyingi ============= Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo , Dorothy Semu amesema chama hicho hakijutii wala hakitajutia...
2 Reactions
8 Replies
135 Views
Ujenzi wa kiwanda cha kusafisha mafuta Tanga sio ndoto bali fursa halisi ya kifedha na kiuchumi. Kwa kuwepo kwa bomba la mafuta kutoka Hoima (Uganda) hadi Tanga, unaweza kufanikiwa kwa urahisi...
7 Reactions
66 Replies
3K Views
Nchi ya Uzberkistan inaanza kuibadili Gesi Asilia kuwa petroli, dizeli, mafuta ya ndege, mafuta ya taa, na Gesi ya LPG ya kupikia. Nchi ya Uzberkistan ina mpango wa kuanza uzalishaji katika...
3 Reactions
72 Replies
4K Views
Petroli ni moja ya mafuta ambayo huagizwa kutoka katika mataifa ya nje kwa ajili ya kutumiwa katika magari madogo na ya kati. Mafuta ya petroli ambayo yanaigizwa kutoka mataifa ya nje yanachukua...
3 Reactions
69 Replies
5K Views
Mwanasiasa Sylvestry Francis Koka ambaye ana zaidi ya Miaka 15 Bungeni, hakuwepo Bungeni muda mrefu mara baada ya kushinda katika awamu yake ya tatu kwenye Uchaguzi uliopita. Pamoja na hivyo...
1 Reactions
1 Replies
87 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Omar Mchengerwa, akiwa ziarani mkoa wa Kilimanjaro ametangaza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
0 Reactions
2 Replies
348 Views
Bora mganga wa kienyeji kuliko Hakimu au Jaji(judge) Hapo vip! Kuna wosia wa huyu Mzee Lonyamali Abraham Laizer Mzee huu ni miongoni mwa wale matajiri wa wazamani waliofanikiwa kwa nafasi yake...
11 Reactions
51 Replies
752 Views
Kwa mara ya Kwanza baada ya Uhuru Tanzania imepata Rais Samia apewe maua yake. Serikali ya Rais Samia imeandika Historia nyingine ya ubunifu kwa kusaini kuanza ujenzi wa barabara za kuu za lami...
38 Reactions
494 Replies
34K Views
Spika mstaafu wa Bunge, Anne Makinda, amesema Watanzania wamezidi maneno badala ya vitendo, akiwataka kubadili mtazamo huo kwa kuiga mfano wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera...
4 Reactions
9 Replies
131 Views
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Tanga, Michael Haule, ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya uongozi pamoja na kujiondoa ndani ya chama hicho, akitaja sababu...
4 Reactions
17 Replies
171 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…