Wanabodi,
Makala yangu gazeti la Mwananchi la leo, hapa ninazungumzia uhitaji wa kuendelea adhabu ya kifo cha kikatili kwa kunyonga mpaka kufa?. Hoja hii ni kufuatia kitendo cha marais wa 4 wa...
Wanabodi,
Kama kawa,
Ukiangalia nguvu iliyotumika jana kuzuia maandamano ya Chadema, nguvu hiyo ingetumika kuyalinda maandamano hayo badala ya kuyazuia!
Mada ya leo ni kuhusu haki, hakuna haki...
Walipigwa wakateswa wakaandika uongo kujinusuru. Angali kesi hii ilivyoamuliwa . Ni kesi ya kutupa Bomu kule Arusha kwenye uzinduzi wa parokia ya katoliki mwaka 2013
Siasa ni michezo ila kwa science yake binafsi, ukikaa ukiwa unasubiria kuelewa siasa basi utasubiria sana,, Hivo basi ebu anza kujadili namna ya kujisogeza kimaisha ata watoto wako wakiwa wakubwa...
NAKWAMBIA hivi Dr Emanuel Nchimbi hasingekuwa TISS kwa KAULI yake dhidi ya katiba mpya kufaitiwa na kuwataka watu waitafte ili Hali wanao itafuta wanapewa kesi za ugaidi angekuwa katumbuliwa...
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, amepinga mtazamo wa kwamba kupatikana kwa Katiba Mpya ndiyo suluhu pekee ya changamoto zote...
Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili...
Huu ndo ubunifu wa DC WA kisalawe kwa kuondoa umasikini na ukosefu WA ajira kwa vijana wetu WA chuo nchini Tanzania.
Yaani Magoti akili zake zimeishia Kumwombea mchango WA boda boda mhitimu wa...
Nimeona tone tone Mwanza imeingia mtaani, Mnyika na Heche njoooni mtaani mbebe Hela tunazo sisi hatuwezi tumakwa simu au benk HAYA majamaaa yatatunyaka sisi ni nyoka jeusi tupo nao ndani njoooni...
Rais Samia kuapisha viongozi wateule Ikulu ya Tunguu, Zanzibar, leo Julai 27, 2026
===============
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Latifa...
Wilberforce Ngoto (Mtangazaji): "...katika katiba ya vyama vya upinzani lakini vile vile wanaharakati wamekuwa wakikosoa wakisema kwamba TBC imekuwa ni sauti ya serikali badala ya kuwa sauti ya...
Wote mliofuatilia Press aliyofanya Makamu Mwenyekiti Bara Mh. John Heche leo Tarehe 25/07-2026 Mwanza Katika Ofisi za Kanda ya Victoria, pamoja na mambo mengine amemwambia Mkurugenzi wa Mashitaka...
"…lakini utaitamani tu pindi ukipata tatizo kwasababu kesi ya mwana CCM na kesi ya mwana CHADEMA hata iwe polisi au kwa mwenye kiti wa Kijiji ni vitu viwili tofauti. Huyu anaweza akaambiwa tu...
Tunakwenda wapi? Huko mbele Watanzania wataweza kulipa hili deni.
Leo hii deni la taifa limefikia tril 114 .
Hizo pesa zinazokopwa zinafanya miradi gani?
Hatuoni miradi yoyote mikubww ya...
Huyu jamaa mnaemsifia nyuma yake yupo mzee wa pwani anasukuma kete zake taratibu baada ya kuona namba moja kachafuka.
Mzee anataka kuendelea kua relevant kwenye siasa zetu ndo anasukuma kete...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Hakika Hiki chama Hakina watu, hakina wafuasi , hakina Wa Kukiunga Mkono wala kukipenda . Ni chama ambacho kimekatalika Mioyoni Mwa Watanzania na watu wote wenye...