Naona sasa viongozi wa chama dume CCM mmesahau kilichotokea mwaka 2011 ambapo CCM ilijinasibu kujivua gamba.
Ccm ilijinasibu kujivua gamba kwa kuwa ilikuwa imechafuka kwa ufisadi na mafisadi...
Nimeshangaa chama kikubwa kama Chadema kinashindwaje kulipa mishahara ya watumishi wake!!
Yaani pamoja na miradi yote waliyonayo Chadema pamoja na Ada za wanachama bado hamuwezi kulipa mishahara...
Ujumbe kutoka Rwanda leo umekutana na Rais Samia Ikulu Dodoma na kumpa salamu maalumu kutoka kwa Rais Paul Kagame.
Katika salamu hizo Rais Kagame kwanza ametoa pole kwa Rais Samia kufuatia kifo...
Mh. Tundu Lissu, baada ya kupewa taarifa juu ya ukandamizwaji wa haki za wasikilizaji na wafuatiliaji wa case ameandika;
"Nimetaarifiwa kwamba Polisi na/au Mahakama wanazuia watu kuingia na simu...
Mwaka mmoja uliopita
Sasa anatumia za kukodisha
Ambazo gharama ni kubwa na ukizingatia tuna ndege za serikali na marubani wa serikali kwa ajili ya usafiri wa viongozi ukiacha wahandisi na...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais samia jasiri muongoza njia,mama wa shoka,chuma cha Reli,Nuru ya wanyonge,Shujaa wa Afrika,Sauti ya wa Afrika,Mtetezi wa wanyonge anawasikiliza watanzania wote...
Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Doto Biteko amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na viongozi wengine kuhakikisha wanatoa elimu ya namna ya kukabiliana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza kunyesha...
Inashangaza sana kuona Chama Cha Mapinduzi kinachojiita watetezi wa Wanyonge kinawakumbatia Wanachama wao wenye Vyeo na pesa Kwa kuwashulumu Maskini wasio na pesa na Vyeo tena wanakumbatiwa.
Ni...
Mimi Asha Abdala, nawaomba watanzania wote wenye mapenzi mema muweze kuwachangia wabunge mahiri Dr Slaa na Zitto Kabwe ili waweze kuwa na vijana wa kutosha pale bungeni Dodoma wawasadia katika...
Maandamano yaliyofanyika nchini Ufaransa leo tena yakiongozwa na Mkenya ni kiashiria cha ujasusi wa kiuchumi kuhusu Tanzania&Uganda juu ya ujengaji wa bomba hilo.
Kenya katika ukanda huu wa...
Baada ya Kikao cha Kamati Kuu kilichoketi jana katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar, Timu ya ACT Wazalendo ipo tayari kuwasilisha Maoni ya Chama mbele ya Kikosi Kazi cha Mh. Rais Kuhusu...
Salaam Wakuu,
Inadaiwa kuwa, kampuni ya Rostam Aziz, LPG/C Mirambo, ilinunua Gesi kutoka Iran na kuleta Tanzania wakati ambapo Marekani imeiwekea Vikwazo vya Gesi ya LPG Nchi ya Iran.
Inadaiwa...
DC JOKATE AZURU AFRIKA YA KUSINI KUTANGAZA ZAO LA MKONGE NA BIDHAA ZAKE PAMOJA NA MASUALA YA UHIFADHI WA WANYAMAPORI NA MAZINGIRA - 28-03-2023
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe Jokate Mwegelo amezuru...
Waziri Ndumbaro ni msomi mkubwa wa Sheria, walau kwa kurejea historia ya elimu yake bila kujali uhalisia wa mambo anayofanya.
Kwamba Waziri Ndumbaro hajui kuwa FIFA hairuhusu serikali kuingilia...
KUNA namna mbili kwa mtu kusafisha chumba chake; unaweza kufagia chumba, ukazoa takataka na kuzitupa. Lakini waweza pia kuzifagilia takataka chini ya jamvi.
Ukifanya hilo la mwisho bado...
Katika chaguzi nyingi kuanzia za ujumbe wa nyumba kumi,serikali za mitaa ubunge na Uraisi wasomi waliobobea sana wamekuwa wakibwagwa na wasiosoma sana.
Nakumbuka Raisi Nyerere aliwahi kuulizwa...
Na Waandishi Wetu, Mwanachi Gazeti
MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi nchini kote, yanaonyesha kuwa vyama vya upinzani vimeanza kupata nguvu kubwa baada ya...
Wadau;kama dakika ishirini zilizopita nilikuwa napita maeneo ya mabibo nikakuta mkutano wa cuf ambapo ndugu mtatiro anahutubia pale na kilichonifanya nimpe dakika chache kwenye ratiba yangu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.