Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Naona sasa viongozi wa chama dume CCM mmesahau kilichotokea mwaka 2011 ambapo CCM ilijinasibu kujivua gamba.
Ccm ilijinasibu kujivua gamba kwa kuwa ilikuwa imechafuka kwa ufisadi na mafisadi wengi waliokuwa wanaliibia taifa letu walikuwa ni viongozi wa Ccm.
Mmoja wa watu waliosadikiwa kuwa mafisadi nguli nyakati hizo ni Rostam Aziz ambae alihusishwa na kila namna ya ufisadi uliofanyika nyakati hizo. Ufisadi kupitia Epa, Kagoda Agricultural Ltd hadi Richmond huyu mtu alihusishwa.
Je, kama ni kweli huyu mwekezaji aliibia taifa letu kisha kusepa ughaibuni baada ya kujiuzulu ubunge na kurudi kwa mkwara ya kuwa muwekezaji ndio iwe sababu ya kusahau yaliyopita?
Tusisahau kuvua operation ya kuvua gamba ilimfanya akajiuzuru ubunge. Au ndio kusema sasa amekuwa mtu safi?
Ccm ilijinasibu kujivua gamba kwa kuwa ilikuwa imechafuka kwa ufisadi na mafisadi wengi waliokuwa wanaliibia taifa letu walikuwa ni viongozi wa Ccm.
Mmoja wa watu waliosadikiwa kuwa mafisadi nguli nyakati hizo ni Rostam Aziz ambae alihusishwa na kila namna ya ufisadi uliofanyika nyakati hizo. Ufisadi kupitia Epa, Kagoda Agricultural Ltd hadi Richmond huyu mtu alihusishwa.
Je, kama ni kweli huyu mwekezaji aliibia taifa letu kisha kusepa ughaibuni baada ya kujiuzulu ubunge na kurudi kwa mkwara ya kuwa muwekezaji ndio iwe sababu ya kusahau yaliyopita?
Tusisahau kuvua operation ya kuvua gamba ilimfanya akajiuzuru ubunge. Au ndio kusema sasa amekuwa mtu safi?