Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

It all over in Zambia baada ya tume ya Taifa ya Uchaguzi ECZ kumtangaza Haikande Hichilema kama mshindi wa Uchaguzi wa Urais uliyofanyika August 13, Hichilema alipata 60% ya kura zote.
4 Reactions
43 Replies
277 Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesisitiza kuwa mchakato wa kupatikana kwa Katiba Mpya nchini ni ajenda yake ya msingi na utatekelezwa kama ulivyohaidiwa katika Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025–2030...
0 Reactions
7 Replies
58 Views
Tarehe 21 eitha mseme hana kesi mumuachie au mseme ana kesi aite mashahidi wake 1. Sijui nan 2. Filp Isdori 3 Shekh Kasim 4. 5 Wote hawa twawataka kwa mahakama
6 Reactions
16 Replies
243 Views
Naona kimya kimetawala kuhusu update ya michango ya baraza kuu la chadema. Je lengo limetimia au vipi? Kama lengo limetimia mbona hamuwaambii watu waache kuchangia?
1 Reactions
40 Replies
291 Views
Kupitia Kitenge TV, Nnkya, mmoja wa wamiliki wa ofisi hizo, amesema Mkuu wa Mkoa anakurupuka kutoa matamko kuhusu ofisi hizo, wakati yeye mwenyewe alikuwa Mkuu wa Mkoa kipindi ambacho ofisi hizo...
22 Reactions
69 Replies
1K Views
Mwamba anaomba poo anatamani hata uteuzi wa ukuu wa Wilaya akapunguze njaa. pumzi imekata
3 Reactions
7 Replies
290 Views
Haiwezekani Dar yote kuwe na bus stand bubu kila kona, usafirishaji wa biashara haramu za Binadamu, Madawa ya kukevya , , foleni katikati ya mji, mapato ya Serikali , huku tukiacha Stendi ya...
4 Reactions
26 Replies
285 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, amesema baadhi ya watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko, akisisitiza kuwa Chama hicho hakiwezi kuwa mfuasi wa ajenda za kisiasa...
6 Reactions
74 Replies
844 Views
Wananchi na mawakala wa meli wamezungumzia fursa mbalimbali zinazotokana na uwekezaji mkubwa wa miundombinu uliofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika...
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Kenani Kihongosi, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, amesema hakuna taarifa rasmi kwamba Makamu wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, ameitwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM Ndani ya chama cha...
0 Reactions
5 Replies
118 Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, akizungumza kwenye kipindi cha PB cha Clouds FM leo, Agosti 19, 2026, amesema kuwa: “Misingi ya CCM inapigana na rushwa, ukijulikana...
0 Reactions
7 Replies
36 Views
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy semu, akizungumza katika mahojiano mwanahabari Edwin Odemba, kupitia Jambo Tv Agosti 17, 2026, amesema Dola ilimuogoba aliyekuwa Mgombea Urais wa...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Huyu kijana anaitwa Joseph Katooki, mkazi wa Kyela Mbeya. Amekamatwa na kupewa kesi ya ugaidi. Amenyimwa dhamana na anashikiliwa katika gereza la Kyela. Nimesikiliza hii clip yake sijaona kosa...
10 Reactions
20 Replies
377 Views
Pamoja na kwamba mamlaka zetu zilitoa taarifa ya kiashiria Cha El Nino mapema mwezi julai lakini taarifa zinazotoka kwenye vyombo vya habari Duniani zinaonesha hatari kubwa zaidi. Kikawaida EL...
5 Reactions
66 Replies
2K Views
Leo Ndani Ya Kipindi Cha JANAnaLEO Tupo Na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi CCM Tanzania Bara Ally Salum Hapi ameetoa mtazamo wake kumuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kwa kusema ni...
0 Reactions
8 Replies
188 Views
  • Featured
Jana Jumamosi tarehe 15, Agosti 2026, makala ya CNN kuhusu mauaji ya Watanzania wasio na silaha wala hatia yoyote ile, imeshinda tuzo ya Salute to Excellence, ya taasisi ya NABJ. Uchunguzi huo...
88 Reactions
123 Replies
3K Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndg. Kenani Laban Kihongosi akizungumza kwenye kipindi cha PB cha Clouds Fm amesema CCM ni chama cha Demokrasia na kinacholeta maendeleo kwa jamii
1 Reactions
9 Replies
70 Views
Ally Hapi akijiwa kupitia Wasafi FM amesema "Siamini kama tutafanikiwa kuwa na Katiba Mpya kabla ya 2030"
2 Reactions
17 Replies
401 Views
Nitaweka baadhi tuu ya miradi n programu kubwa na muhimu alizofanya na anazoendelea kufanya ambazo ni game changer ya maendeleo ya Nchi. 1. Amemaliza kupeleka umeme Kila Kijiji,Sasa anaendeleza...
6 Reactions
266 Replies
4K Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema chama hicho hakitasita kuchukua hatua dhidi ya watumishi wazembe wanaosababisha migogoro kwa wananchi...
3 Reactions
13 Replies
298 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…