4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,496
- 13,328
Rejea mada tajwa hapo juu. Wahuni uzeeka pia, wazee kama Wasira ni janga kuu katika taifa huwezi kuwa kiongozi halafu ukazungukwa watu wenye akili ya Wasira then ukafaulu.
Zamani tulizoea wazee kuwafunda vijana walio chini yao katika uongozi, sasa uyu mzee vijana ambao wako kwenye uongozi wanajifunza nini kutoka kwake ?
Mungu anatakiwa kufanya jambo la haraka kuokoa taifa.
Wazee wa hivi wanajua muda wao umeisha ila wanasubili kudra za Mungu na wako tiyari kuvuruga kokote.
Kauli alizozitoa uyu mzee na kipindi ambacho taifa linapitia anatakiwa akapimwe akili, kwa umri ulionao unatakiwa jenga legacy sio kuongea ujinga ujinga.
Katubu we mzee na jirekebishe haraka sana.
Thanks