Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni...
Niliwai kiwadokeza hapa members sita ambao Rais anafuatulia michango yao, ila sikutaja ID zao ila 4 walikuwa wanampinga sana na alikuwa anaandika sehemu anachosoma 2021-2023, wawili ni wale...
Jana Mahakama imetoa ushindi kwa LISU. Kumekuwa na nderemo na vifijo kwa hukumu hiyo.
Kwangu mimi sina la kushangilia, bado Mahakama ni tawi la serikali linapokea maagizo ya serikali...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amesema maridhiano ya kisiasa hayawezi kufanikiwa bila kuwepo kwa ukweli na uwajibikaji kuhusu matukio ya kisiasa yaliyotokea nchini.
Amesema hatua ya...
Hamjambo!
Wote tunajua kuna ukoloni mamboleo. Zaidi tunafahamu nchi nyingi za kiafrika zilipata uhuru wa bendera.
Tunafahamu pia Katiba inayotumika ni ile ya 1977 ambayo kimsingi inatumia mfumo...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA akiwa mkoa wa Mwanza amezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo suala la utekaji nchini, ambapo ameshutumu kuwa anafuatiliwa na watu wanaotumia magari yenye namba za...
Hawa wafanyabiashara ya Madawa ya kulevya, Mafisadi, Wahujumu Uchumi, Wauaji na Watekaji, wanafanya kila njia kuhakikisha katiba mpya haipatikani.
Mara watasema, Katiba mpya si kwaajili ya...
SIASA ZA MAIGIZO HAZIFUTI DAMU, HESHIMA HAINUNULIWI KWA VIKAO VYA IKULU
Nianze na nukuu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere "Mtu mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu, na wewe ukijua ni...
Ninakuona una akili Kubwa na Huru, japo baadhi ya Nyakati, Maisha ya Kisiasa na fujo zake zinakuondoa katika Mstari.
Sasa basi, Wagombea Ubunge kupitia CHADEMA Uchaguzi ujao ( si lazima tufike...
Ninakuambia hapa na kukushauri, suala sio Urais , Wewe ni Binadamu!!.
Huko CCM Kwako ni kwa moto, Kila Mtu anapambana kuzidi kukufanya uonekane ni Mbaya, Katili ,na dikteta usiye na Mfano ( japo...
Je vyombo vya usalama vimekuwa machawa au ni Uzalendo
1. Je utekaji unaweza kuwa uzalendo? Hasa kwa watu wasio na hatia
2. Kulinda watu ambao wanaiba kura na kushiriki wizi wa kura ni uzalendo...
- kuna chuki na uhasama uliosababishwa na wanaoitwa wasio julikana wakiteka , kupoteza na kuuwa raia.
yawezekana ni haohao hapo juu ndio walioua ndugu zetu kwa maelfu oct 29.
yawezekana ndo...
Alafu Wapinzani nao kukicha, Mnaanza habari za 2030 vile ,2030 hivi , ni kwamba mmekubali yaishe aongoze mpaka 2030??.
Mtapigwa kipigo kibaya sana , CCM mnawajua hamuwajui? .
CCM inatakiwa...
Sioni Harakari na Maisha ya kisiasa ya Mwl Nyerere penzi za Ukoloni, Yakifikia Maisha ya TUNDU LISSU katika zaman hizi za Wakoloni Weusi.
Nyerere anabaki kua Baba wa Taifa, ila Historia...
Ukimjibu mtu ambae hana hoja katika jamii. Unampa mtu nafasi kujiona anafaa.
Dili la Chauma kutumiwa na CCM lilishabuma.
Andaeni maandamano ya nchi nzima Lissu aachaiwe maana akitoka nje CCM...
Hakuna marefu yasiyo na ncha, uzuri ni kwamba historia ni Mwalimu mzuri sana,
Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu,
Najua upepo uvumao kwa nguvu...
Kuna wakati ukikaa na kukumbuka kwamba serikali ilitoa amri ya kuwaua raia wake tarehe 29 Oktoba, unaishiwa nguvu.
Je, nyinyi mawazo haya hayawajii tena? Au ni mimi tu ambaye kuna wakati ninakuwa...
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI
CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezugumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 30 Julai, 2026.