Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika historia ya harakati za ukombozi wa Tanganyika, kabla ya TANU kupewa mamlaka ya kuongoza nchi na baadaye kubadilika kuwa CCM, chama hicho kilikuwa kinapigania ukombozi dhidi ya wakoloni...
4 Reactions
6 Replies
129 Views
Niliwai kiwadokeza hapa members sita ambao Rais anafuatulia michango yao, ila sikutaja ID zao ila 4 walikuwa wanampinga sana na alikuwa anaandika sehemu anachosoma 2021-2023, wawili ni wale...
17 Reactions
28 Replies
1K Views
Jana Mahakama imetoa ushindi kwa LISU. Kumekuwa na nderemo na vifijo kwa hukumu hiyo. Kwangu mimi sina la kushangilia, bado Mahakama ni tawi la serikali linapokea maagizo ya serikali...
3 Reactions
5 Replies
102 Views
  • Featured
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amesema maridhiano ya kisiasa hayawezi kufanikiwa bila kuwepo kwa ukweli na uwajibikaji kuhusu matukio ya kisiasa yaliyotokea nchini. Amesema hatua ya...
13 Reactions
9 Replies
1K Views
Hamjambo! Wote tunajua kuna ukoloni mamboleo. Zaidi tunafahamu nchi nyingi za kiafrika zilipata uhuru wa bendera. Tunafahamu pia Katiba inayotumika ni ile ya 1977 ambayo kimsingi inatumia mfumo...
3 Reactions
56 Replies
418 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA akiwa mkoa wa Mwanza amezungumzia masuala mbalimbali ikiwemo suala la utekaji nchini, ambapo ameshutumu kuwa anafuatiliwa na watu wanaotumia magari yenye namba za...
19 Reactions
23 Replies
778 Views
Hawa wafanyabiashara ya Madawa ya kulevya, Mafisadi, Wahujumu Uchumi, Wauaji na Watekaji, wanafanya kila njia kuhakikisha katiba mpya haipatikani. Mara watasema, Katiba mpya si kwaajili ya...
5 Reactions
6 Replies
247 Views
SIASA ZA MAIGIZO HAZIFUTI DAMU, HESHIMA HAINUNULIWI KWA VIKAO VYA IKULU Nianze na nukuu ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere "Mtu mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu, na wewe ukijua ni...
5 Reactions
15 Replies
320 Views
Ninakuona una akili Kubwa na Huru, japo baadhi ya Nyakati, Maisha ya Kisiasa na fujo zake zinakuondoa katika Mstari. Sasa basi, Wagombea Ubunge kupitia CHADEMA Uchaguzi ujao ( si lazima tufike...
3 Reactions
17 Replies
231 Views
Arudi CCM ni kujifia!! Arudi CHADEMA hatipokelewa Tena. Kwa umri wa SELASINI, Jamaa bado alikua na miaka ya kutosha kufanya Siasa. Njaaaa za kipumbavu
4 Reactions
6 Replies
175 Views
Ninakuambia hapa na kukushauri, suala sio Urais , Wewe ni Binadamu!!. Huko CCM Kwako ni kwa moto, Kila Mtu anapambana kuzidi kukufanya uonekane ni Mbaya, Katili ,na dikteta usiye na Mfano ( japo...
4 Reactions
4 Replies
165 Views
Je vyombo vya usalama vimekuwa machawa au ni Uzalendo 1. Je utekaji unaweza kuwa uzalendo? Hasa kwa watu wasio na hatia 2. Kulinda watu ambao wanaiba kura na kushiriki wizi wa kura ni uzalendo...
4 Reactions
7 Replies
152 Views
- kuna chuki na uhasama uliosababishwa na wanaoitwa wasio julikana wakiteka , kupoteza na kuuwa raia. yawezekana ni haohao hapo juu ndio walioua ndugu zetu kwa maelfu oct 29. yawezekana ndo...
1 Reactions
2 Replies
59 Views
Alafu Wapinzani nao kukicha, Mnaanza habari za 2030 vile ,2030 hivi , ni kwamba mmekubali yaishe aongoze mpaka 2030??. Mtapigwa kipigo kibaya sana , CCM mnawajua hamuwajui? . CCM inatakiwa...
1 Reactions
6 Replies
105 Views
Sioni Harakari na Maisha ya kisiasa ya Mwl Nyerere penzi za Ukoloni, Yakifikia Maisha ya TUNDU LISSU katika zaman hizi za Wakoloni Weusi. Nyerere anabaki kua Baba wa Taifa, ila Historia...
4 Reactions
20 Replies
300 Views
Ukimjibu mtu ambae hana hoja katika jamii. Unampa mtu nafasi kujiona anafaa. Dili la Chauma kutumiwa na CCM lilishabuma. Andaeni maandamano ya nchi nzima Lissu aachaiwe maana akitoka nje CCM...
5 Reactions
11 Replies
196 Views
Hakuna marefu yasiyo na ncha, uzuri ni kwamba historia ni Mwalimu mzuri sana, Ipo siku ataanza kuandamwa mtu mwingine alafu watanzania hawa hawa watamsahau Lissu, Najua upepo uvumao kwa nguvu...
9 Reactions
156 Replies
14K Views
Kuna wakati ukikaa na kukumbuka kwamba serikali ilitoa amri ya kuwaua raia wake tarehe 29 Oktoba, unaishiwa nguvu. Je, nyinyi mawazo haya hayawajii tena? Au ni mimi tu ambaye kuna wakati ninakuwa...
8 Reactions
19 Replies
214 Views
PENGINE LISSU AMESHITUKIA HILO LIMCHEZO KONGWE NA ATATAKA SASA KUKIFANYA KIWE CHA UPINZANI HALISI CDM walioganda na Mbowe na kuona Lissu kugombea ni kama usaliti wajitafakari sana uelewa wao wa...
40 Reactions
76 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezugumza na Viongozi wa Vyama vya Siasa nchini, Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 30 Julai, 2026.
10 Reactions
69 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…