MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,689
- 7,850
Kuna kahoja kanatumika na wajinga flani kwamba tukibadirisha katiba tunakuwa tunawadharau waasisi wetu.
Kambarage mwenyewe alifanya hivyo mara kazaa ili katiba iendane maisha ya wakati ule.
1961, 1962, na 1977) pamoja na katiba ya mpito/ya muda (1964/1965), badala ya kuifanyia marekebisho.
Katiba ni shati je kuna mtu anawena kuvaa shati lililopauka na lenye viaraka viraka.
Nakupongeza makamu wa Rais (mngoni mwenzangu) kwa ajasiri uliotuonyesha.
Kambarage mwenyewe alifanya hivyo mara kazaa ili katiba iendane maisha ya wakati ule.
1961, 1962, na 1977) pamoja na katiba ya mpito/ya muda (1964/1965), badala ya kuifanyia marekebisho.
Katiba ni shati je kuna mtu anawena kuvaa shati lililopauka na lenye viaraka viraka.
Nakupongeza makamu wa Rais (mngoni mwenzangu) kwa ajasiri uliotuonyesha.