FATMA KARUME!
Pamoja na kutofautiana itkadi na huyu mama lakini bado inabidi nikubali kwamba ni kiongozi 'potential' wa nchi hii!
Kutokana na harakati chache ninazoona akishiriki imebidi...
Joshua nasari ni moja kati ya wanasiasa mahiri kwenye kuhakikisha ahadi zake zinatimia na sasa dogo ameshatekeleza mengi aliyoahidi.
Zitto kabwe kama alivyoonywa na wananchi wa Kigoma kuwa kama...
Ndg , wana Jf kumekuwa na mwitikio mkubwa kwa wafanyakazi selikarini kugombea nafasi mbalimbali ndani ya vyama vya siasa, mfano mwalimu ambaye ni mwajiriwa selikarini anagombea uwakilishi wa...
Wananchi wa Ikungi waomba msaada kwa mbunge wa CCM Mheshimiwa Elibariki Kingu, baada ya kutelekezwa na mbunge wao Tundu Lissu kwa muda mrefu .
Baada ya maombi hayo mbunge Kingu aliridhia na...
Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini imekamata makontena 10 yaliyokuwa na kemikali aina ya ethanol yenye ujazo wa lita 200000 (Laki mbili) kupitia bandari ya Dar es salaam...
Waziri mkuu mwenye rekodi ya kukaa madarakani Kwa kipindi cha miaka kumi na baadae kubatizwa jina la Mr zero na wafuasi wa Chadema, sasa ameibuka.
Sumaye ambae alihama ccm na kujiunga na chadema...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa na ambayo iliwaacha Watu wengi midomo wazi huku wengine wakivunja mbavu kwa vicheko Mwanasiasa maarufu na mwenye ushawishi mkubwa nchini Kenya ambaye pia ni...
Leo maeneo ya Kimara -Ubungo Maji wasafiri wamepanda usafiri wa mwendokasi bure kisa kutokufanya kazi kwa mfumo wa kukata tiketi.
Tukio hilo lilianza majira ya alfajiri hadi saa 3 asubuhi.
Naona...
Puzzle as UDA millions paid to board chairman
Tuesday, 02 August 2011
By The Citizen Team
Some Sh270 million meant for the purchase of State-owned commuter transport firm Usafiri Dar es Salaam...
Wanasheria wa chadema wanamaliza pesa kwa kisingizio cha legal fees. Kesi za kujitungia ni nyingi ambazo akina lisu hufanya makusudi ili mawakili wa chadema wapate ajira walambe pesa. Mbowe weka...
Upo ushahidi kwamba Ndugu Hunter Mwakifuna maarufu kama " MCHWA " , diwani wa kata ya Ipinda Amekesha akihaha kurekebisha uozo ndani ya ofisi yake , katika usiku wa kuamkia leo.
Ikumbukwe kwamba...
wanabodi,
Ni jioni ambayo ningependa kwenda kwenye mapumziko baada ya saa za ofisi, ukizingatia foleni zisizoisha katika jiji la Dar es salam, lakini najikuta nikiahirisha kufunga ofidi ili...
Ni kwamba hizi gharama ambazo wabunge au madiwani haswa wa CHADEMA, wanapotumia midomo yao kuropoka na kwenda kinyume cha sheria na kukamatwa na polisi na kuswekwa ndani, baadae wanakuja mawakili...
Wanabodi,
Salaam;
Al-Sahhaf majina yake kamili ni Mohammed Saeed Al-Sahaaf, akiwa amezaliwa 30 July 1940 Hilla, Iraq .
Kwa wenye kumbukumbu nzuri bwana huyu alikuwa ni Waziri wa Habari wa...
Ndugu zangu,
Inasikitisha, inahuzunisha,inakatisha tamaa na kutia hasira kuona madiwani wenu wanajiuzuru nafasi zao za Udiwani ambazo wapo watu wengi waliwekeza kwazo kifedha, kiharakati...
Kwa mujibu wa taarifa ambazo nimepenyezewa na wanyetishaji wangu wa kuaminika zinaeleza kuwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kinajipanga kutoa sapoti ya nguvu katika ahadi ya Mh Edward Lowassa...
Rais wetu ashauriwe upya juu ya msimamo wake kuhusu maeneo yenye njaa. Mkoani Mara, baba yangu amekuwa akilima zaidi ya ekari 10 za Mahindi kwa miaka 4 mfululizo, ni hasara tupu. Hakuna mavuno kwa...
Mbunge Joshua Nassari awaonya Viongozi wa dini Kuacha kuwasafisha Mafisadi wanaomwaga Fedha Makanisani na Misikitini kila Kukicha...!!
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.