A Canadian-based mining company has threatened to take legal action against President John Magufuli’s government if it goes ahead with plans to retake operations of the Buckreef Gold Mine owned by...
Wanabodi,
Kama kweli Rais Magufuli anataka kujipima ufanisi wake, basi aruhusu, mikutano ya Siasa kwa vyama vyote, kwa Mujibu wa Ibara ya 3 ya Katiba ya Tanzania.
Hii itasaidia kukosorewa na...
WAKATI Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli akitekeleza masuala mbalimbali aliyowaahidi Watanzania, ikiwa ni pamoja na kurejesha uwajibikaji na kupambana na ufisadi, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick...
Hata mtoto mdogo atagundua kwamba serikali ya awamu ya tano imekusudia kabisa kuua demokrasia, na ikiwezekana wanatamani kibaki chama kimoja.
Sasa najaribu kuangalia mbinu zinazotumika, mara...
Tunaposema lipo jambo juu ya madiwani wa Chadema wanaolazimishwa kujiuzulu huko kanda ya Kaskazini basi mtuelewe maana tunajua kila kitu.
Huko jimboni Hai ambapo madiwani watatu walijiuzulu...
“Naiomba Serikali ya kibeberu, itamke wazi kwamba inaishambulia TANU kwa sababu TANU tumetangaza bila woga kuwa Serikali ya kimabavu tutaipiga vita. Tutaishambulia bila kupumua mpaka tumeiangusha...
Waziri mkuu kassimu majaliwa yupo mkoan mby kwa ziara ya kikazi wanaichi wa mby na songwe kwa ujumla wamekelwa sana na tabia ya wana ccm kumiliki mikutano ya pm kama ya chama ndipo sasa jana...
Naomba twende direct to the point. Sipendagi kuuma uma maneno.
Toka Lipumba arudi na kuamua kutaka kuchukua kiti chake kwa lazima, tumeona matukio mengi.
1.Moja wapo ni jinsi msajiri wa vyama...
Huyu jamaa akiwa kwenye misafara huko mikoani, ratiba ya kula huwa inatupwa kule. Yaani toka asbh hadi jioni hakuna kitu hutia kinywani. Kweli Hapa Kazi Tu!
Kuna habari kwamba Benki ya waalimu Tanzania iliikopesha CCM mabilioni ya shilingi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015
Pia kuna tetesi kwamba kila wakijaribu kufuatilia malipo,wanakutana NA vigingi...
Naamini mko salama kwa uweza wa Mungu baba.
Ninapoandika hapa najaribu tu kuwasilisha mawazo yangu hapa kupitia huo msemo wa wahenga,nikiifikiria CUF na masaibu yake.
Lipumba alipojiuzuru mliona...
Nyaraka zaonyesha kila hatua aliweka mikono yake
Uthibitisho wa kuibeba Richmond watolewa peupe
Kumbe ndiye aliipora Tanesco kazi ya kusaka mzabuni
Wizara ya Nishari na Madini ilisubiri maamuzi...
Sakata la madiwani watatu waliojiuzulu wa chama Cha Demokransia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Hai, limechukua sura mpya baada ya kubainika kuwepo kwa tofauti ya majina na kata za madiwani...
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.
Na wajue...
Mwanzo nililalamikia sana uongozi wa juu wa chama kushindwa kuchukua hatua juu ya mkakati wa madiwani kujiuzulu na kuhamia CCM pamoja na viongozi na wanachama kadhaa, Sikujua kumbe huu ulikua...
Duniani kote vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kufikiri sahihi ndio wamekuwa msaada mkubwa sana kwa mataifa yao.
Marakadhaa vijana wamekuwa mstari wa mbele kupinga aina yeyote ya...
Mahakama ya Kisutu inatarajia kutoa leo uamuzi kuhusu maombi ya dhamana ambayo yaliwasilisha Mahakamani na Mawakili 20 wanaomtetea Mbunge, Mwanasheria, na Raisi wa TLS Mhe Tundu Lissu ambaye...
Vyama vitatu vya wanasheria Afrika vimetoa tamko la pamoja kulaani kukamatwa kwa Rais wa Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS), Tundu Lissu alipokuwa akielekea Kigali, Rwanda kwenye mkutano wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.