Hebu tuambie katika awamu hii ya uongozi ni mwanasiasa yupi ambaye kwako unadhini ni bora zaidi kuliko wengine.
Toa na sababu kwanini unadhani ni bora zaidi.
Kwa upande wangu...
Hatua kubwa imechukuliwa na CHADEMA, kwa mwamvuli wa UKAWA, kumkaribisha kubwa la maadui awe miongoni mwao, na hatua hiyo imeshagawanya wafuasi wa chama hicho kifikra.
Wapo walioungana na kauli...
Baada ya Viongozi wetu kuacha Sera na Itikadi ya kupinga Ufisadi na kupigania Rasilimali za Umma na badala yake kazi hiyo kufanywa kwa uhodari na Rais JPM, Sisi wapinzani wa kweli tunamuunga mkono...
Haujapita muda mrefu tangu Tanzania itembelewe (kimya kimya) na mwanasoka maarufu duniani David Beckham.
Wakati huyo mchezaji alipotembelea Tanzania ingawa wengine wanasema ni Kenya yalitolewa...
Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza operesheni maalumu ijulikanayo kama Ondoa Msaliti Buguruni (OMB) kwa lengo la kutatua mgogoro unaokikabili Chama cha...
Hata enzi za Mwl uzalendo ni pamoja na furaha!! Kununa sana sio dalili ya uzalendo! Kijana ukinuna kila mara utazeeka haraka!
Evil begins when you begin to treat people like things!
Wengi wanajiita wana chadema lkn hawakielewi hiki Chama historia yake na kilianzishwa kwa lengo lipi!
Kwa kifupi chadema kilianzishwa na Edwin Mtei ambaye aliwahi kuwa Gavana wa Benki Kuu, huyu...
Leo wilayani Chato, wakati akipokea nyumba za watumishi wa afya, zilizotolewa na taasisi ya Benjamini Mkapa
Mh Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli, amesema serikali keshokutwa...
Tanzania Bado sana makusanyo yetu ni $126 Kwa mtu na Kenya $236 kwa mtu kwa mwaka 2016-2017. Kenya idadi ya watu 47 na Tanzania 52. Makusanyo Kenya $11M na Tanzania $6.5M . Tunaitaji kupunguza...
RAIS Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amewataka Watanzania, wakiwamo wanasiasa, kuacha kulalamika kwa kukosekana kwa haki, huku akiwataka kujiuliza iwapo wametimiza wajibu wao.
Amesema...
Akiongea na wafanyabiashara akimwakilisha Rais John Pombe Magufuli,Waziri Mkuu Majaliwa amewaambia wafanya biashara kwamba Tanzania ni sehemu sahihi ya kuwekeza kwa sababu imejaa amani na imara...
Najaribu kuwaza...
Kila nikifungua TV nakutana na habari za mazingira watu wanakamata Chainsaws, mbao zinakamatwa kwa kuvunwa misituni, watu wananyang'anywa pump za umwagiliaji zinazoharibu...
Tofauti na ile alama ya dole gumba ambayo kimsingi haina maana, alama ya vidole viwili inayotumiwa na Chadema na wadau wengine wengi katika harakati mbalimbali duniani, ina maana kubwa mbili...
Habari wadau!
Naomba kujua kama madiwani wanalipwa kiasi gani kwa kujiuzulu nyadhifa zao na huku wakijua au kutojua kuwa wanadaiwa na mabenki walikokopa mikopo baada ya kuwa madiwani na dhamana...
Hivi ninyi watawala mnadhani watanzania kweli Ni wajinga kiasi hik? Yaani mnaamini kabisa kwamba hawaoni, na hawaelewi mnachokifanya? Hamjui mnaongeza chuki na uhasama nchini? Hii awamu sijui...
Jana tume ya mishahara [ya watumishi wa umma] ya Kenya imetangaza viwango vipya vya mishahara ya viongozi wa umma.
Viwango hivyo vipya ni vidogo kidogo kulinganisha na viwango vya sasa.
Kwa...
Karani wa Baraza la Mawaziri Hassan Ramadhani Shebuge (mara nyingi husimama pembeni mwa Rais wakati wa viapo), amefariki dunia.
======
Pichani, marehemu Hassan Shebuge akishuhudia Prof...
Wanabodi,
Kwanza kabisa niseme hivi "Binadamu hawanaga shukrani" na pia kuna usemi usemao "shukrani ya punda mateke". Hi mi misemo ya wanna ambayo sasa tunaona ukweli uliopo.
Huko nyuma nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.