Saturday, July 29, 2017
OPINION: Zambians sad with their democracy
In Summary
What happens next in Zambia is unclear, but signals are that democracy may well be in danger
By Michael...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Susanne Maselle Makene amekutana na viongozi wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) kutoka majimbo yote 9 ya Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuweka mikakati...
Kuna watu wanashangaza sana.
Baadhi yao wanadhani wako juu ya sheria. Kwamba wanaweza kufanya chochote bila mkono wa sheria kuwagusu.
Kwamba wanaweza kumpiga huyu kisha wakamsukuma yule bila ya...
Kauli iliyoleta matokeo chanya Tz
Commred Chichimizi
Kauli [emoji23]...Kauli ya kiufundi ya Mhe.Rais JPM ya serikali haina shamba, hivyo mgao wa chakula hakuna. Kauli iliyoleta uwajibikaji na...
Naona kuna wadanganyika wanapiga kelele na kushangilia na wengine kukufuru kwamba eti rais wa awamu ya 5 Magufuli kaletwa na mungu ainyooshe Tz na kuiletea maendeleo,tumesahau jinsi Lubuva...
General Assembly resolution 1803 (XVII) of 14 December 1962, "Permanent sovereignty over natural resources"
The General Assembly,
Recalling its resolutions 523 (VI) of 12 January 1952 and 626...
#ArudiShule
Leo (29.06.2017) Asasi za Kiraia nchini Tanzania zimetoa Tamko la pamoja kuhusu kuwapa fursa wasichana kurudi shuleni baada ya kujifungua.
Kwa Ufupi:
Sisi asasi za kiraia nchini...
Tumepokea kupitia vyombo vya Habari taarifa za tukio la Mwandishi wa habari wa TBC kushindwa kutimiza wajibu wake Katika Makao Makuu ya CHADEMA.
Tunapenda kuweka wazi Kuwa tukio hili halikufanywa...
Nimetembea, majimbo yote yanayoongozwa na vyama vya upinzani hasa Chadema, kwa kweli am very dissapointed.
Kinyume kabisa na matarajio na tambo za wapinzani ni miaka miwili sasa baada ya...
Tangu aondoke Mwalim Julius Kambarage Nyerere watanzania wabaki wanyonge sana.
Misingi aliyoiacha Nyerere ilikosa mtu wa kuiendeleza na kuisimamia ipasavyo.
Zilibaki ngonjera tu. Asante Mungu...
Baada ya CCM kuwapokea madiwani wanaohama Chadema kwa maelezo kuwa ni kutokana na kuridhishwa na utendaji kazi wa Rais John Magufuli, mambo mapya yameibuka ikielezwa kuwapo utata katika barua zao...
MEYA ARUSHA AMJIA JUU RC GAMBO, ATAKA AOMBWE RADHI
Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ametoa siku saba kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amuombe radhi kwa kosa la kumuweka ndani wakati...
Chama cha ACT-Wazalendo kimemtaka Waziri wa Kilimo, Dk Charles Tizeba kujiuzulu kwa kushindwa kuwapelekea wakulima wa korosho pembejeo kama alivyoahidi.
Serikali iliahidi kuwapa wakulima wa...
Baada ya CCM kuwapokea madiwani wanaohama Chadema kwa maelezo kuwa ni kutokana na kuridhishwa na utendaji kazi wa Rais John Magufuli, mambo mapya yameibuka ikielezwa kuwapo utata katika barua zao...
Kwa sababu imedhihirika wazi kuwa uwezo wa mtukufu na taasisi zake kupambana na nguli wakili msomi Lissu ni mdogo mno hasa baada ya maagizo ya mtukufu ya kutaka kumthibiti lissu kutofanikiwa mara...
Habari wanaJamvi.
Watanzania sijui nani katuloga, tumekuwa watu wa kutoa machozi na kusahau machungu yaliyotukuta na kutugharimu.
Tumesahau umeme wa Richmond ulivyotutia umaskini katika nchi...
Kumekuwa na propaganda ya kijinga inayosambazwa na vijana wa Lumumba wakidai kwamba Mbunge wa Singida Magharibi Elibariki Kingu (ccm) ametoa msaada wa vitanda 52 kwa ajili ya vituo vya afya na...
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba amesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad ameshindwa kutekeleza...
Rais Kikwete akiwa na Waziri wa Ujenzi,Dr.Magufuli,Mkoa wa Mkoa was Tabora,na mbunge wa Bukene Selemani Zedi
Katika kumbukumbu zangu maridadi barabara zote za mkoa wa Tabora zilshazinduliwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.