KWA MWAKA WA FEDHA WA 2016/2017 PEKEE VIMEAHIRISHWA VIKAO 5 KUTOKANA NA MADIWANI. KUGOMA KWA MADAI YA KUINGILIWA NA KUBURUZWA NA SERIKALI KUPITIA MKURUGENZI WA JIJI.
WAFANYA BARAZA LA KUFUNGA...
July 28 201 7 Mahakama ya Rufaa ilitupilia rufani iliyofunguliwa na wapiga kura wa jimbo la Bunda mjini katika kesi ya uchaguzi wa kupinga matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa jimbo hilo, Ester...
Habari wana jamvi.
Siku kama ya leo mnamo tarehe 30 July 2008 kulitokea ajali mbaya ya gari maeneo ya Pandambili nje kidogo ya mji wa Dodoma na kupelekea umauti wa aliyekuwa Makamu mwenyekiti wa...
Wawekezaji ni kati ya watu wenye akili na upeo mkubwa walioamua kutumia akili na uwezo wao kuutafuta utajiri. Katika kufikia malengo yao, wawekezaji huwa na sera zao, intelijensia yao, tafiti zao...
A Canadian-based mining company has threatened to take legal action against President John Magufuli’s government if it goes ahead with plans to retake operations of the Buckreef Gold Mine owned by...
Wanabodi,
Kama kweli Rais Magufuli anataka kujipima ufanisi wake, basi aruhusu, mikutano ya Siasa kwa vyama vyote, kwa Mujibu wa Ibara ya 3 ya Katiba ya Tanzania.
Hii itasaidia kukosorewa na...
WAKATI Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli akitekeleza masuala mbalimbali aliyowaahidi Watanzania, ikiwa ni pamoja na kurejesha uwajibikaji na kupambana na ufisadi, Waziri Mkuu mstaafu, Frederick...
Hata mtoto mdogo atagundua kwamba serikali ya awamu ya tano imekusudia kabisa kuua demokrasia, na ikiwezekana wanatamani kibaki chama kimoja.
Sasa najaribu kuangalia mbinu zinazotumika, mara...
Tunaposema lipo jambo juu ya madiwani wa Chadema wanaolazimishwa kujiuzulu huko kanda ya Kaskazini basi mtuelewe maana tunajua kila kitu.
Huko jimboni Hai ambapo madiwani watatu walijiuzulu...
“Naiomba Serikali ya kibeberu, itamke wazi kwamba inaishambulia TANU kwa sababu TANU tumetangaza bila woga kuwa Serikali ya kimabavu tutaipiga vita. Tutaishambulia bila kupumua mpaka tumeiangusha...
Waziri mkuu kassimu majaliwa yupo mkoan mby kwa ziara ya kikazi wanaichi wa mby na songwe kwa ujumla wamekelwa sana na tabia ya wana ccm kumiliki mikutano ya pm kama ya chama ndipo sasa jana...
Naomba twende direct to the point. Sipendagi kuuma uma maneno.
Toka Lipumba arudi na kuamua kutaka kuchukua kiti chake kwa lazima, tumeona matukio mengi.
1.Moja wapo ni jinsi msajiri wa vyama...
Huyu jamaa akiwa kwenye misafara huko mikoani, ratiba ya kula huwa inatupwa kule. Yaani toka asbh hadi jioni hakuna kitu hutia kinywani. Kweli Hapa Kazi Tu!
Kuna habari kwamba Benki ya waalimu Tanzania iliikopesha CCM mabilioni ya shilingi wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015
Pia kuna tetesi kwamba kila wakijaribu kufuatilia malipo,wanakutana NA vigingi...
Naamini mko salama kwa uweza wa Mungu baba.
Ninapoandika hapa najaribu tu kuwasilisha mawazo yangu hapa kupitia huo msemo wa wahenga,nikiifikiria CUF na masaibu yake.
Lipumba alipojiuzuru mliona...
Nyaraka zaonyesha kila hatua aliweka mikono yake
Uthibitisho wa kuibeba Richmond watolewa peupe
Kumbe ndiye aliipora Tanesco kazi ya kusaka mzabuni
Wizara ya Nishari na Madini ilisubiri maamuzi...
Sakata la madiwani watatu waliojiuzulu wa chama Cha Demokransia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Hai, limechukua sura mpya baada ya kubainika kuwepo kwa tofauti ya majina na kata za madiwani...
Kumekuwa na tabia ya wateule wa Sizonje kufanya maamuzi tata, kinyume na sheria kwa kisingizio cha amri toka juu. Wakumbuke kwamba hawana kinga yoyote ya kushtakiwa kama alivyo Sizonje.
Na wajue...