Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye wamewatadharisha Watanzania kuwa makini na watu wanaotaka Madaraka kwa kugawa fedha katika sehemu mbalimbali za nchi au majimboni akionya kwamba wanaweza...
Wadau,kwa mtazamo wangu,Dr.Slaa anastahili tuzo ya mwanasiasa hodari na jasiri kwa namna ambavyo anaweka maisha yake rehani kwa faida ya nchi hii.
Naamini,taarifa anazopata Dr.Slaa huwa...
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.
Aidha amemtuhumu Spika...
Huyu jamaa hapo juu alikamatwa na kupokea kipigo baada ya kuvamia kikao cha CUF na kupiga watu wakiwamo waandishi.
Uchunguzi wa awali ulionyesha alitumwa na Lipumba, Kambaya na kundi lao. Pamoja...
Hivi ni kweli hawa waliopeleka hii assessment ya kodi kwa ilo shirika walipata kiasi icho? Jamni mbona hii ni hatari sasaa? Kiasi icho sasa ni trilion kama za zimbabwe au kama za hizi nchi...
Kuhusu Mwandishi wa TBC kuzongwa /kuzuiliwa kutimiza wajibu wake.
Tumepokea kupitia vyombo vya Habari taarifa za tukio la Mwandishi wa habari wa TBC kushindwa kutimiza wajibu wake Katika Makao...
Kama inasafirisha mchanga wetu tani kwa tani kwenda Ulaya na kuacha mashimo wazi halafu mchanga uliobaki baada ya kuchenjua madini hawarudishi yale mashimo tutayafunikaje na mchanga wake haupo...
ACACIA walisema Dhahabu ni 0.3% tu, leo wanalia wamepoteza 80% ya their Business Tsh. 392B in 6 Months tu! Imagine17 year
Hawa ni Majambazi siyo Kampuni ya kuchimba Madini
Akitangaza kuvuliwa kwa uachama wa Chama hicho leo, mbele ya waandishi kaimu mwenyekiti wa Chama hicho wilaya ya Hai Dr Joe Nkya amesema kamati tendaji ya Chama wilaya ya Hai imechukua uamuzi huo...
Namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya kumuona na kumsikiliza live aliyetufnya tukutane hapa pia nimebahatika kujua nani muasisi Wa boom vyuoni.
But swali langu ni je? Mnajipanga vp kuendelea...
Mheshimiwa Rais mimi ni mwananchi wako niliyeguswa na kupendezwa mno na utendaji wako.Kwa kuwa sina njia yeyote ya kuweza kukutana na wewe ana kwa ana,nimeona nitumie njia hii ya mtandao wa...
DEMOKRASIA YA TANZANIA NA KISA NG'OMBE WA TATU.
Watanzania wenzangu nimejaribu kutafakari kwa kina hali ya Tishio inayolikumba Taifa letu. Mbele yetu kuna Matishio kadhaa ambayo Yananyemelea...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku mbili Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya kumaliza tofauti zao zinazokwamisha utendaji wa Halmashauri hiyo na kuendelea kufanya kazi...
Labda kwa kuwa naitwa Vyamavingi! Jana narudi nyumbani nikakuta bahasha imeandikwa Mr. Vyamavingi kwa hati nzuri ya kutamanisha kujua kilichomo.
Ile kufungua tu barua nakutana na 'letter head' ya...
Kwanza nitumie muda huu kumshukuru aliyeumba ulimwengu.
Nielekee kwenye mada.mimi ni team magufuli na ninafurahishwa na utendaji wake wa kazi lkn kama mwanadamu rais wetu naye ana mapungufu yake...
Watu watu wanaofanya juhudi za kukandamiza demokrasia ya vyama vingi kwa lengo la kutaka kuua vyama vya upinzani ni watu ambao hawajastaarabika,wamepitwa na wakati,ni watu primitive na pia ni...
Ule ukosoaji wa viongozi wa dini hasa awamu iliyopita haupo tena. Ni kama yale waliyokuwa wakiyakosoa sasa yote 100% ni PERFECT.
Siku wakiguswa na wao kuhusu kufutwa misamaha wa kodi katika...
Sikumbuki idadi kamili ya kontena za mchanga zilizotajwa kusafirishwa na kampuni ya kuchimba dhahabu ya Acacia kwenda Ulaya, ila zilikuwa nyingi kiasi kwamba zilikotoka kumebakia mashimo matupu...
Update on Discussions with Tanzanian Government
Acacia notes comments made by Barrick Gold Corporation on their second quarter results conference call that “discussions with the Government of...
Nimekuwa nikisikia mara nyingi hapa kwetu Tanzania katika miaka ya hivi karibuni kuwa maendeleo ya nchi na wananchi hayahitaji vyama vya siasa. Sababu kubwa imekuwa kwamba wanachama na wasio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.