Atende lakini atupe Uhuru wetu wa kufikiri , kusema, kuhoji, na hata ikibidi kumkataakaongea....wenzake wanatenda
Atende lakini atupe Uhuru wetu wa kufikiri , kusema, kuhoji, na hata ikibidi kumkataa
Cairo's
wanatenda kwa kufanya manunuzi ya madiwani? na mkija kwenye uchaguzi tunawachapa tena. Hela za watanzania si mmeona hazina shughuli ya kufanyakaongea....wenzake wanatenda
kwanini sasa mnakuwa waoga kiasi hiki? inatia mashaka sanaCCM imara sana
Magufuli anamuogopa sana Tundu Lissu.Hakuna MPINZANI wa kumweza MAGUFULI hili halina UBISHI.......angewashindwa CCM wenzake ambao ndio WABABE nadhani kauli ya LISSU ingeleta maana sana.......Tunaelekea MWAKA WA TATU huu tayari kaisha wanyamazisha vilivyo na wengi wameufyata......
Anawanyamazisha kwa mkono wa chuma au kwa hoja??!! Think menHakuna MPINZANI wa kumweza MAGUFULI hili halina UBISHI.......angewashindwa CCM wenzake ambao ndio WABABE nadhani kauli ya LISSU ingeleta maana sana.......Tunaelekea MWAKA WA TATU huu tayari kaisha wanyamazisha vilivyo na wengi wameufyata......
Kabla haujasema magufuli ameunyamazisha upinzani. kwanza inabidi ujeu upinzani ni nini?Hakuna MPINZANI wa kumweza MAGUFULI hili halina UBISHI.......angewashindwa CCM wenzake ambao ndio WABABE nadhani kauli ya LISSU ingeleta maana sana.......Tunaelekea MWAKA WA TATU huu tayari kaisha wanyamazisha vilivyo na wengi wameufyata......