Maswa Ltd
Member
- Jul 29, 2017
- 36
- 18
Nimetembea, majimbo yote yanayoongozwa na vyama vya upinzani hasa Chadema, kwa kweli am very dissapointed.
Kinyume kabisa na matarajio na tambo za wapinzani ni miaka miwili sasa baada ya uchaguzi hamna ahadi hata moja waliyotimiza !!!
Kule singida imefikia hatua jimbo la Tundu Lisu linapewa msaada wa vitanda na Elibariki Kingu mbunge wa ccm !!
Nini kifanyike ili wabunge watimize ahadi zao ??
Kinyume kabisa na matarajio na tambo za wapinzani ni miaka miwili sasa baada ya uchaguzi hamna ahadi hata moja waliyotimiza !!!
Kule singida imefikia hatua jimbo la Tundu Lisu linapewa msaada wa vitanda na Elibariki Kingu mbunge wa ccm !!
Nini kifanyike ili wabunge watimize ahadi zao ??