Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Agosti 2, 2026 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa Jengo la Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Mtumba jijini Dodoma.
TANZANIA NA MAREKANI ZAAZIMIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
Kwa nia ya dhati kabisa nataka kuufahamisha umma wa Watanzania kuhusiana na tatizo kubwa liloibuka hivi karibuni ndani ya Vyama vya Siasa na Serikali anayo iongoza rais Samia.
Tatizo kubwa...
Kuna kahoja kanatumika na wajinga flani kwamba tukibadirisha katiba tunakuwa tunawadharau waasisi wetu.
Kambarage mwenyewe alifanya hivyo mara kazaa ili katiba iendane maisha ya wakati ule...
WAJUMBE WA CONGRESS WA SERIKALI YA MAREKANI WAKUTANA NA WIZARA YA ULINZI NA JKT
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho, pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, wamefanya mazungumzo na ujumbe...
Miongoni mwa majina ya vijana wanaotajwa kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM mwakani ni pamoja na jina la kijana msomi Kennedy Mpumilwa kijana huyu anayetajwa kumsumbua akili Mbunge wa jimbo la...
Bila kufanya reform ndani ya CCM, chama kinaenda kupotea kabisa. Ukiangalia hata propaganda zinazotumika sasa zimepitwa na wakati. Hii ishu ya Heche imeonyesha kwamba CCM imefika mwisho kimawazo...
Katibu wa NEC Organaizesheni ya Chama cha Mapinduzi CCM Paul Matiko Chacha amesema kwa sasa nchini hakuna upinzani wenye nguvu kama ilivyokuwa miaka ya nyuma akitolea mfano wa upinzani wa Agustino...
SASA WAKULIMA WA TUMBAKU, PAMBA NA KATANI wamekipata. Bei ni Yakuumiza na kufilisi kabisa. Lengo tukate tamaa, tuache kilimo, tupivwe njaa kisha tupewe silaha tuuane. Wanaua uchumi wa kila mtu...
Meli ya kubeba mafuta yenye bendera ya Tanzania, MT ASANA, imetekwa nyara na watu wanaoshukiwa kuwa maharamia wa Kisomali baada ya kuondoka katika bandari ya Mukalla nchini Yemen.
Kwa mujibu wa...
DKT. MWIGULU: KUWEKEZA KWENYE UTAFITI NI NJIA SAHIHI YA MAGEUZI YA KILIMO.
▪️Awataka watumishi kutimiza wajibu wao
Dodoma, Agosti 2, 2026
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewahimiza watendaji...
Habari, ninaandika uzi huu nikiwa na maumivu makubwa moyoni. Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita mwaka 2026, nikiwa nimesoma mchepuo wa PCB katika shule ya serikali.
Katika matokeo yangu ya kidato...
Februari 8, 2019 Tundu Lissu pamoja na aliyekywa Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Wilson Masilingi, walichuana vikali katika mahojiano yaliyofanyika VOA, kuhusu suala la shambulio la risasi...
Na hii ni kwasababu,
msingi wa muundo wa diplomasia ya Tanzania ni kushinda kila jaribu, iwe ni la kisiasa, kijamii au kiuchumi, kitaifa na kimataifa kwa kutofungamana na upande wowote wa dunia...
Serikali dhalimu inawakamata viongozi na wanachama wetu na kuwabambikizia kwa makusudi na kwa uongo kesi mbaya isiyo na dhamana ya ugaidi.
Sisi tunahoji, mnajua madhara ya kusema kuna ugaidi...
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kufikia maridhiano ya kweli na ya kudumu bila kuwepo kwa misingi ya ukweli, haki na uwajibikaji.
Semu ametoa...
Sudan Kusini Yamkaribisha Mwakilishi Mkuu wa AU Jakaya Kikwete kusaidia kuweka mambo sawa Kabla ya Uchaguzi wa Kihistoria wa 2026
June 2026
Juba South Sudan
Rais wa zamani wa Tanzania na mjumbe...