Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya wananchi mkoani Arusha wameieleza Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 changamoto mbalimbali walizokumbana nazo wakati na baada ya vurugu na maandamano yaliyotokea siku hiyo...
2 Reactions
7 Replies
500 Views
  • Redirect
Wakristo na Waislamu wema wanaojitambua, Haya so called maandano ya jana, ni ushenzi mkubwa. Ni udini wa kiliangamiza taifa! Hawa ni wa dini ileeeee! Ni wachache wao na si wote. Tuwe na umoja...
2 Reactions
Replies
Views
Friends and Our Enemies, Kanisa Katoliki kupitia kiongozi wao Ruwaichi limeingia kwenye vita kali ya maneno na majibizano na waumini wake mara baada ya waumini hao kuandaa maandiko na kuyapeleka...
9 Reactions
109 Replies
2K Views
Wanabodi, Katika zoezi la kusaka vyeti bandia linaloendelea sasa, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na vyeti halisi, halali na vya kweli, na pia kushindwa kutofautisha...
25 Reactions
294 Replies
51K Views
๐—ช๐—”๐—ญ๐—œ๐—ฅ๐—œ ๐—ž๐—ข๐— ๐—•๐—ข ๐—”๐—ง๐—˜๐— ๐—•๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—” ๐— ๐—”๐—ข๐—ก๐—˜๐—ฆ๐—›๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐Ÿญ๐Ÿฎ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—œ๐—™๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—œ๐—”๐—ฆ๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ญ๐—”๐—ก๐—ญ๐—œ๐—•๐—”๐—ฅ (๐—ญ๐—œ๐—ง๐—™ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฒ) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea...
0 Reactions
0 Replies
157 Views
  • Redirect
Baadhi ya wananchi mkoani Arusha wameieleza Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 changamoto mbalimbali walizokumbana nazo wakati na baada ya vurugu na maandamano yaliyotokea siku hiyo...
0 Reactions
Replies
Views
Tumsifu Yesu Kristu viongozi wangu, Naandika makala hii nikiwa nawakilisha kundi kubwa la waumini wa kanisa katoliki ambao tumechoka kuona kanisa letu linadhalilishwa na kufanywa kama eneo la...
11 Reactions
16 Replies
419 Views
Nilikuwa napitapita kwenye Youtube nikakutana na video ya ndugu huyu ambaye ni nabii na mchungaji wa huduma iitwayo "Huduma ya Kristo (Christ's Ministry) iliyoko huko Arusha, Tanzania...
18 Reactions
136 Replies
10K Views
  • Redirect
Anaandika Askofu Bagonza (PhD) "POLISI NA โ€œWAKATOLIKIโ€ 1. Nalazimika kuwapongeza Polisi wetu kwa ukomavu wao na ustaarabu wa kutozuia maandamano ya โ€œWakatolikiโ€ walioenda kueleza hisia zao kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Alipoapishwa kuwa Rais baada ya mtangulizi wake kufariki, Samia alikuwa anakuja sana Marekani. Alijipendekeza kwa Kamala Harris, mpaka wakafanya ka press conference, na baadaye Kamala...
25 Reactions
87 Replies
2K Views
Wanaodai kuwa Waumini wa Kanisa Katoliki, leo Januari 5, 2026 wamefika katika Ubalozi wa Vatican kuwasilisha barua rasmi ya malalamiko dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo la Dar es Salaam, Jude...
1 Reactions
19 Replies
733 Views
Hili suala lililotokea leo linaliabisha taifa unafikiri mabalozi na nchi duniani zinatuona tuna akili timamu kweli ? Hawa wapumbavu walioandamana leo niwaambie kile mtu anajua kuwa ni maigizo...
3 Reactions
14 Replies
362 Views
Wakati Wa Mkutano Na Waandishi Wa Habari Wa Wanaharakati Huru Joseph Yona,pamoja Na Ahmed Kombo ,Joseph Yona Ametumia Nafasi Hiyo Kuipongeza Timu Ya Taifa Ya Tanzania Taifa Stars Kwa Kufuzu Hatua...
1 Reactions
7 Replies
265 Views
Watakapokuja Wakatoliki halisi wanaojua kusoma na kuvaa kwa heshima mbele ya Balozi wa Papa, wakasoma tamko lao kuwataka Polisi wamkamate aliyempiga Fr. Kitima, na wamlete aliyeteka mapadre na...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
Niseme machache tu wakuu, 1. Kwanza picha linaanza wakatoliki wamevaa vijora. Yaani mnaenda kwenye sehemu ya heshima, kwenye Ubalozi wa Vatican mmevaa vijora kweli? Kuna watu kwenye ile video...
43 Reactions
64 Replies
2K Views
Viongozi wa CCM wanajipanga kusherehekea kwa nguvu maadhimisho ya Mapinduzi Zanzibar. Hili ni tukio muhimu lenye kukumbusha na kuimarisha utambulisho wa Zanzibar na watu wake. Kwa miaka minane...
0 Reactions
1 Replies
219 Views
Tunataka Jeshi la Polisi liheshimu (with consistency) haki ya raia ya kujieleza (freedom of expression). Leo polisi wamefanya kazi yao kwa kuzingatia sheria. Kama sote tulivyoona, hawakuvuruga...
14 Reactions
34 Replies
754 Views
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu. Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na...
3 Reactions
13 Replies
622 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ