Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Njia sahihi na salama kabisa ya kurejesha utulivu nchini ni kutafuta mlipo jikwaa nakuondoa hicho kizingiti kilicho fanya mjikwae , Kuendelea kudhani kwamba amani na upendo wa taifa vitarejea kwa...
3 Reactions
2 Replies
192 Views
Oct 29 shughuli zote zilisimama mapema sana asubui, internet ilizimwa asubui, usafiri haukuwepo asubui tume ilipata wapi rais, wabunge na madiwani ? Moja ya hoja kuu kuwa hakukuwa na uchaguzo...
2 Reactions
7 Replies
215 Views
Moja ya wizara za kwanza kabisa kuundwa mara baada ya Tanganyika kupata uhuru ni ya vijana, iiitwa "wizara ya utamaduni wa taifa na vijana" (ministry of national culture and youth). Waziri wa...
4 Reactions
5 Replies
261 Views
Tanzania Kuna kikundi cha watu mitandaoni na kilikuwepo awamu zote tangu awamu ya Mkapa mpaka sasa, kazi yao kuu ni kukejeli na kutukana viongozi wetu. viongozi wetu MSIFE MOYO kwani Kila mtu...
0 Reactions
4 Replies
156 Views
https://www.youtube.com/live/0oisjyeeiTk?si=ZyTQ-O1IFxIhOKkd MDAHALO KUHUSU UENDESHAJI ENDELEVU WA BANDARI UNAENDELEA PEACOCK HOTEL Baraza la Wasafirishaji Tanzania (Tanzania Shippers’ Council...
2 Reactions
14 Replies
279 Views
Hamjambo wote! 1. Kama mtanitazama vizuri kwa wale wenye kunijua kidogo mtagundua siko Sawa. Ni kama nimeathirika kisaikolojia hivi. Ni kama mtu niliyepitia au kuona mambo magumu na mabaya. 2...
7 Reactions
33 Replies
504 Views
Yule Malkia wa nguvu aka Mwanamke shupavu bingwa wa mambo ya urithi ametoswa tena huko Geita. Wajumbe si watu wazuri
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Sheikh Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke, amewaomba Watanzania kuingia mwaka 2026 kwa kusameheana na kuachana na chuki, akisisitiza kuwa msamaha ni...
0 Reactions
18 Replies
362 Views
January 27, 2001 yalifanyika maandamano yaliyoitishwa na chama kikuu cha upinzani CUF kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa Oktoba 2000 uliyompa ushindi mgombea wa CCM Dkt. Amani Abeid...
1 Reactions
5 Replies
226 Views
Leo wamekubali bila chenga kuwa wamefungia X sababu ya maudhui ya ngono! Kampeni ya CCM kutaka kufungia mitandao kabla ya uchaguzi inaenda kutimia. Ila😂😂🤣 kwahiyo na Insta inafuata, Youtube...
10 Reactions
73 Replies
6K Views
Mambo yanayoendelea SGR ya wananchi kulalamikia huduma ni mchezo unatengenezwa ili Serikali ije na maelezo kuwa TRC haiwezi kusimamia SGR hivyo Serikali imepata mwekezaji atakayeendesha kwa...
2 Reactions
12 Replies
307 Views
Kiufupi,mwenye ID Robert Hariel Mtibeli kasema ni propaganda kusema kwamba matatizo tuliyonayo Tanzania hayatokani na CCM bali yanatokana na malezi na ukoloni mambo leo. Kusema kwake huko ni...
14 Reactions
76 Replies
1K Views
Kama mjuavyo tunauaga mwaka 2025 kwa kishindo cha Ushindi wa 97.6%. Hivyo kama ilivyo kawaida ya Mheshimiwa kutoa Hotuba ya kuuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mpya. Je Hotuba itarushwa saa ngapi...
6 Reactions
17 Replies
452 Views
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, ameingilia kati na kutolea ufafanuzi sintofahamu iliyotawala miongoni mwa wakazi wa Goba kuhusu kuondolewa kwa kamera za usalama (CCTV) katika makutano ya...
3 Reactions
18 Replies
564 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuuhutubia taifa kuhusiana na kuaga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya 2026. Hotuba hiyo itarushwa mubashara kupitia...
3 Reactions
87 Replies
2K Views
Katika kipindi hiki kigumu watanzania ndio mnawaona watu walio upande wenu na wapumbavu njaa baadae tusifanye makosa.
4 Reactions
4 Replies
157 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, akiongea na wahariri pamoja na waandishi wa habari, leo Jijini Dar es Salaam, amesema maandamano ambayo waandamanaji wanaenda...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Tumetoka kujaza Ile form ya Tume ya uchunguzi wa matukio ya tar. 29 Tumeijaza kabla hatujatawanyika kwenda kwenye majukumu ya kujitafutia riziki hii form siyo ngumu inaeleweka watanzania tujaze...
1 Reactions
46 Replies
576 Views
Jane Flanaga, Africa Correspondent Sunday December 28 2025, 6.46pm GMT, The Times Killings, abductions and torture have followed demonstrations over the disputed re-election of Samia Suluhu...
7 Reactions
23 Replies
582 Views
Mwaka 2015 kuna kiongozi mmoja wa CHADEMA ngazi ya Jimbo alikwenda kwenye Kijiji fulani ndani ya Jimbo lake na kukuta uongozi wa Kijiji hicho ni CHADEMA. Akashangaa Sana. Alipouliza imekuwaje...
23 Reactions
28 Replies
889 Views
Back
Top Bottom