Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,706
- 218,254
"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje ambaye tutakubaliana naye."
- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa
- Mkurugenzi Mkuu TPA, Plasduce Mbossa