Wanabodi
Nimeona majina ya wagombea Uspika wa Bunge la JMT Thread 'Vigogo Sita wa CCM kuwania nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania' GE2025 - Vigogo Sita wa CCM kuwania...
Wanabodi,
Habari za Jioni!.
Niko kwenye social function fulani, MC wa Sherehe hii ni mmoja wa MC wakongwe nchini na mahiri, ila aliniboa alipotangaza rasmi kuwa miongoni mwa wageni waheshimiwa...
Hii ni kwa sababu Jukumu la Ulinzi ni la KILA Mwananchi.
Kingine ni hiki hakuna uzembe uliozidi kipimo kama ule wa kuibiwa mali zako kibwege bila juhudi zozote za kulinda
Kwa mfano, Kwenye...
Kwanza kabisa niseme mimi binafsi sifurahii kabisa pale mtu anapokufa.Sifurahii zaidi pale anapokufa bila kutubu.Hata hivyo kuna desturi imejitokeza hapa nchini ya watu kufurahia watu...
Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya.
Hatuta waonea huruma...
Unaweza kudhani unaota lakini hii ndio hali halisi ya Tanzania kwa sasa.
Shule ya msingi ya Mivinjeni iliyokuwa ikifundisha kwa lugha ya kiingereza imeuzwa kwa Matajiri na kusababisha usumbufu...
Ndugu zangu Watanzania,
Dunia ina unafiki mwingi sana . Ina mambo ya ajabu na hovyo Sana. Kama Mkuu wa Nchi na Rais wa Nchi usipokuwa imara ,makini ,mwenye msimamo imara na Thabiti unaweza jikuta...
Sasa Tanzania inaenda kushuhudia aibu ya Karne
Miundombinu ya Isimani ni mibovu. Ndo kielelezo cha Uongozi wa CCM.
Kila mwenye akili timamu atahoji William Lukuvi kaifanyia nini Isman kwa miaka...
TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia...
Wanabodi
Hii ni makala yangu, kwenye gazeti la Nipashe la leo.
Kwa mwaka huu, kufunga kwa Wakristo kipindi cha Kwaresma, kumekwenda sambamba na mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa ndugu zetu Waislamu...
Mashahidi 43, akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele, wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi...
Kuna tabia inayozidi kujitokeza na kukua siku hadi siku katika jamii—wananchi kuonyesha kufurahia vifo vya baadhi ya viongozi au wanasiasa. Ukichunguza kwa kina, hali hii inachangiwa kwa kiasi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli naumizwa, kusikitishwa na kusononeshwa sana kuona ,kusoma matusi anayotukana kada wa CHADEMA aitwaye SATIVA. Huyu mtu amekuwa akitukana matusi machafu sana...
Wakati watumishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchi nzima wakiwa na madeni juu ya stahiki zao, Makamu wetu JOHN HECHE analipa hadi laki 5 kwa usiku mmoja kulala katika hotel za hadhi ya...
Sisi mawakili Maduhu William, Nashon Nkungu na Paul Kisabo tumefungua shauri la Kikatiba ambalo ni Shauri No. 7300dhidi ya Kamishina Jenerali wa Magereza, Mkuu wa Gereza la Ukonga na Mwanasheria...
HILI LIWE FUNZO KWA MAFWELE NA GENGE LAKE.
SSP Christopher Bageni atanyongwa hadi kufa. Ndivyo mahakama ya rufaa ilivyoamua. Maamuzi ya leo ni ya mwisho katika mwenendo wa kesi yake. Hana pengine...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ameitembelea familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Iringa, Frank Nyalusi aliyefariki Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa...
Ajali ilivyobadili maisha ya aliyekuwa mfanyakazi mradi wa ujenzi Bwawa la Nyerere, alia na fidia kiduchu ya WCF. Asema 'bora ningekufa'
Ally Omari Mbelwa ambaye alikuwa fundi chini ya usimamizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.