CHADEMA kuwashtaki wanaokichafua chama hicho

CHADEMA kuwashtaki wanaokichafua chama hicho

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,842
Reaction score
50,556
Dickson Matata Mwanasheria wa CHADEMA na mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya magharibi, kanda inayojumuisha mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora amesema kuwa CHADEMA itawashtaki wanaojifanya wanachama wa chama hicho wakati sio.

Pia amesema atamshauri Makamo Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kuwafungulia mashitaka wote wanaomchafua.
 
Hapo dawa ni kuwauliza namba zao za kadi ya uanachama tu

Unakuta wengi kama sio wote hawana
 
Pia Dickson Matata kasema kesi za ugaidi zinatumiwa kisiasa.
 
Mimi nashauri hata Ester Matiko naye ashtakiwe kwa kulaghai kuwa ni mbunge wa chadema hadi 2025 wakati alishahamia ccm tangu 2022. Hata akilindwa na mahakama, ni muhimu iwe kwenye kumbukumbu.

Ipo siku watatakiwa kujibu.
 
Back
Top Bottom