Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni takribani mwezi mmoja tu tangu bwana Dangote alipotangaza kuwekeza mradi wake mkubwa wa takribani $16 bilioni nchini Kenya. Hayo yalijitokeza baada ya maneno ya rais wa Kenya kwamba...
1 Reactions
18 Replies
346 Views
Rafiki yangu anaitwa Warioba Josephat Butiku, sote ni Wakazi wa Butiama, Mkoani Mara, juzi alishambuliwa na watu kadhaa kutokana na masuala ya mifugo, alienda kuchukua mifugo sehemu fulani...
4 Reactions
11 Replies
345 Views
Mkuu, Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale. Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa Pia soma...
131 Reactions
272 Replies
32K Views
https://www.facebook.com/share/v/193vb1Mttf/
3 Reactions
27 Replies
470 Views
Vodka na warusi sasa leo waitaliano wameleta hizi Najiuliza Huyu mgana ambaye wamemwandaa ionekane wanafuatilia anayemfuatilia makamu wa Chama kikuu cha Upinzani kwanini iwe hivi? Tuko hatua...
14 Reactions
12 Replies
431 Views
Nimevutiwa sana na namna msanii huyu Dudubaya anavyoweza kuvuta watu wa rika zote bila kutumia nguvu. Msanii huyu anao mvuto wa kipekee kwa miaka mingi. Nimependezwa na aliyebuni utaratibu wa...
7 Reactions
14 Replies
293 Views
Tabia za Ajuza sometimes 1)kupoteza kumbukumbu 2)Kutofanya kazi kwa ufanisi 3) kutokufuatilia mambo ya msingi,kutegemea watu wengine. 4)kukosa nguvu na Madini kupungua 5)Kukosa Mvuto. Ccm mna...
9 Reactions
24 Replies
403 Views
Ukiachilia mbali kukosekana discipline katika kueneza itikadi, sera na agenda za vyama hivyo vya siasa vya upinzani nchini, na pengine utamaduni usio na staha wa uropkaji, kutukana na kuporomosha...
2 Reactions
27 Replies
210 Views
Hypothetical budget Makamishina 6. Kila mmoja posho zooote....ie siting allowance, per diem, "salary "trànsport etc etc... yaani kama wabunge wanavyokula posho na mshahara......combine...
2 Reactions
3 Replies
74 Views
Ilianza siku 100 Ikafuata Tume ya Chande Zikapita purukushani za PM mikoani Hali ikawa tafrani waraka ukaja kutoka kila kona Waraka unaisha tarehe August 10 sisi tumekuja na tume Tume imepewa...
3 Reactions
9 Replies
235 Views
Wanabodi, Hii ni thread muendelezo wa uzi huu, Japo kwa Jinsia ni Mwanamke, Lakini kwa Mawazo, Maneno na Matendo, ni Mwanamume! Uamuzi Huu ni wa Kiume! Big Up Sana kwa Uamuzi Huu wa Kiume uzuri...
6 Reactions
26 Replies
481 Views
Hili ni swali fupi sana lakini linaweza kuwa na majibu marefu sana, Na kwa kweli Nchini Tanzania Watu wanatekwa na kupotezwa, Hilo halina Ubishi. Mambo haya yalipofanyika awamu ya 5 aliyeamuru...
19 Reactions
128 Replies
5K Views
Nakumbuka kama vile ilipangwa kusikilizwa mfululizo kuanzia tarehe 10.8.2026. Ratiba bado iko hivyo au kuna mabadiriko?
4 Reactions
13 Replies
270 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuendelea kulinda na kudumisha amani, usalama na utulivu wa nchi, akieleza kuwa ndio msingi mkuu wa maendeleo na...
2 Reactions
42 Replies
458 Views
Kumteka mwanachama wa CCM kwa sababu amethubutu kuikosoa serikali na chama chake ni ishara ya hatari sana kwa demokrasia yetu. Soma Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa...
5 Reactions
12 Replies
258 Views
Mradi mkubwa wa maji kutoka Buzirayombo na matangi yamejengwa Itare ambayo baada ya kukamilika ulituaminisha utamaliza kero ya maji kwa wila ya Chato na baadhi ya maeneo ya Biharamulo. Ukweli ni...
1 Reactions
1 Replies
34 Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amewakosoa vikali baadhi ya vijana hasa wale wa CHADEMA kwa kile alichokiita kejeli na kubeza hotuba ya...
1 Reactions
14 Replies
264 Views
Naona hakuna updates tena kama awali, kuna changamoto yoyote?🐒 Mungu Ibariki Tanzania
4 Reactions
62 Replies
463 Views
Comrade!ikitokea hatma imekudondokea na hatmae ukawa mkuu wa kiti kikubwa katika nchi hii!Hili nalo lipatie ufumbuzi kama ninavyoandika sasa! Kumbuka nchi yetu Haina tatizo la ajira Bali sera...
8 Reactions
59 Replies
757 Views
Kama wahadhiri wanakamatwa kwa kuelezea namna uhuru wa kuandamana na kujieleza ulivyowekwa kwenye Katiba ya JMT. Hii dira ya 2050 itatekelezwa kwa namna gani? Huku CCM hawataki taifa liwe na...
2 Reactions
6 Replies
88 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…