Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Miaka zaidi ya 100 iliyopita, Kabla ya Vita vya Kwanza vya Dunia, Wajerumani walikuwa na mipango mikubwa ya maendeleo ya miundombinu Tanganyika. Baadhi ya mipango ilikuwa tayari imeshakamilika...
17 Reactions
45 Replies
644 Views
Samia ameunda tume huku akimteua Jaji Barishaki Cheborian wa Uganda kuwa mmoja wa tume hiyo kuchunguza chanzo cha vurugu. Soma PostGE2025 - Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka...
8 Reactions
45 Replies
433 Views
Hakuwa MTU wa kujilimbikizia Mali na Kujenga kwao Kama viongozi wengine Hakuwa na ajenda ya kupitisha mwenyewe kibabe alipeleka kamati kuu ya Chama mfano kwenye Azimio la Arusha
10 Reactions
59 Replies
8K Views
Ugaidi huu wa Tanzania ni tofauti na ule aliokuwa anaufanya Osama bin Laden?👇
0 Reactions
1 Replies
58 Views
Rais Samia Aibeba Tanzania Kileleni Afrika, Mkutano wa Africa50 Watoa Mwelekeo Mpya wa Uwekezaji wa Miundombinu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameendelea...
-1 Reactions
3 Replies
53 Views
♦️Labda muuaji Samia na genge lake la wahuni wakisaidiwa na Chawa wao wa mitandaoni na huko kwingine wanaweza kuelewa vizuri na kuacha kuteka na kuumiza watu hovyo... Hebu tujadili kuhusu...
4 Reactions
2 Replies
66 Views
Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, Jerida Ramadhani Ngosha, amesema aliomba msamaha kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho baada ya kuitwa kwenye kikao Korogwe, lakini akasisitiza kuwa msamaha huo...
3 Reactions
31 Replies
411 Views
My Take Kuwe na Mfuko maalumu wa kuwawezesha wabunifu tuu na WA link na research centres . Kuna mwingine kule Njombe ameishia la saba ila ametengwdza mfumo wa umeme. Tukienda hivi tuswapita...
8 Reactions
31 Replies
506 Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku, amesema hajui aliyekiwa Balozi, Humphrey Polepole, alipo hadi sasa ingawa mara kadhaa alikuwa akikutana naye. "Kabla...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors. Baadhi ya Sababu...
1 Reactions
0 Replies
58 Views
Mbunge huyu wa upinzani Time Kadrijaj alimrushia mayai Waziri Mkuu wa muda wa Kosovo Albin Kurti wakati wa kikao cha bunge siku ya Jumamosi. Waziri Mkuu Albin Kurti aliomba muda zaidi wa kufanya...
1 Reactions
4 Replies
94 Views
Wanabodi Kwa Maslahi ya Taifa kwenye gazeti la Nipashe la leo. Kufuatia kuibuka kwa kada mpya ya ajira ya uchawa, ambayo nasikia inalipa sana, kila mtu akisifia tuu uongozi au kiongozi anaitwa...
17 Reactions
149 Replies
11K Views
Mtangazaji (Rausath Sued):"Tumeona Rais amezindua tume ikachunguze wale waliohusika na yale matukio yaliyotokea tarehe 29. Kwa unavyona, hii tume iliyoundwa na Rais ni tume ya kijaji kama...
2 Reactions
1 Replies
82 Views
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu. 1. Moshi Huu mji ulianza...
3 Reactions
14 Replies
434 Views
Utekaji unaweza fanyika katika nyanja mbili, Moja igizo { Drama } au utekaji halisi Tanzania tumeshindwa Kutofautisha tukio halisi naa Igizo { Drama } hatujui kabisa maana ya Utekaji { Kidnaping...
9 Reactions
59 Replies
6K Views
Mgombea wa ChademaTz anapewa fomu na msimamizi msaidizi wa uchaguzi, Bi. Diana Kabondo, ambayo imejazwa kuwa hajateuliwa kugombea nafasi ya ujumbe wa mtaa, Mji wa Bariadi, kabla hata siku ya...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
It is true that democratic freedom is an engine of national and individual wealth and prosperity. Hardly known, however, is that freedom also saves millions of lives from famine, disease, war...
4 Reactions
5 Replies
857 Views
https://sw.wikipedia.org/wiki/Orodha_ya_mikoa_ya_Tanzania_kwa_Pato_la_Taifa
2 Reactions
25 Replies
365 Views
The minister is materially wrong to put the case of the soldiers who were killed by the assailants and Azory Gwanda who was kidnapped treacherously by the people who presented themselves so...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama kawaida yet u watanzania kila baada ya miaka 5 ufanyika uchaguzi mkuu wa Urais,Ubunge na Udiwani, Mwaka 2015 umefanyika uchaguzi uliomuacha Magufuli kileleni kwa kura 8,000,000 za...
2 Reactions
102 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…