Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Angalieni jinsi hawa jirani zetu Wakenya wanavyo tusema vibaya kwenye TV yao kuhusu uchaguzi mkuu wetu, wanamsema vibaya huyu mgombea wetu tegemeo la Watanzania, wanamuita ni dikiteta...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Wanabodi Hili ni bandiko la swali, japo Mungu ni mmoja, na Tanzania tuna manabii wetu na Kenya wana nanabii wao, iweje Mungu anaongea sana na manabii wa jirani zetu Kenya na kuwapa unabii kuhusu...
2 Reactions
45 Replies
961 Views
Wanabodi Kiukweli Shetani yuko busy sana kupitia manabii wa Uongo na Unabii wao wa Uongo kuihusu Tanzania!. Hii ni bandiko la kutoa angalizo kwa Watanzania wanaolitakia mema taifa letu kuwa...
9 Reactions
30 Replies
816 Views
https://youtu.be/ObnNqWHIhwU?si=fZ3x4KYA79HxKTFj ILANI: Hii ni video ya Novemba 3, 2025
4 Reactions
16 Replies
418 Views
Naona lengo la ccm kuwapumbaza watanzania linaenda kutimia. Angalieni jinsi baadhi ya wana Mbeya wanavyo kimbilia kupata mgao wa bagia na soda kutoka kwa Mbunge wao kupitia ccm.
7 Reactions
34 Replies
382 Views
Nawausia binadamu watanzania wenzangu kwenye huu ulimwengu kwamba kama unaweza kuishi maisha yenye maadui wachache, punguza maadui. Usitumie nguvu zako kuongeza maadui wakati dunia tayari ina...
2 Reactions
7 Replies
142 Views
Nyie mnaomcheka ni sababu si ndugu yenu. Kichaa anachekesha kama si ndugu yako. Mambo anayoyafanya ni ya aibu sana. Lakini si wa kumcheka. Lazima mjue ametokea wapi na amepitia hali gani. Ni...
42 Reactions
34 Replies
939 Views
Kampuni ya Vitol Bahrain E.C., kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Uganda National Oil Company (UNOC), zimeingia makubaliano ya kuendeleza mradi wa ujenzi wa...
3 Reactions
14 Replies
275 Views
Ni takribani mwezi mmoja tu tangu bwana Dangote alipotangaza kuwekeza mradi wake mkubwa wa takribani $16 bilioni nchini Kenya. Hayo yalijitokeza baada ya maneno ya rais wa Kenya kwamba...
1 Reactions
18 Replies
346 Views
Rafiki yangu anaitwa Warioba Josephat Butiku, sote ni Wakazi wa Butiama, Mkoani Mara, juzi alishambuliwa na watu kadhaa kutokana na masuala ya mifugo, alienda kuchukua mifugo sehemu fulani...
4 Reactions
11 Replies
345 Views
Mkuu, Kama ulikuwa unabet basi umelenga palepale. Siyo kubet mkuu ! Subiria hata Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanakuja Baada ya ziara ya Kusini Katavi, Nape na Makamba wanatemwa Pia soma...
131 Reactions
272 Replies
32K Views
https://www.facebook.com/share/v/193vb1Mttf/
3 Reactions
27 Replies
470 Views
Vodka na warusi sasa leo waitaliano wameleta hizi Najiuliza Huyu mgana ambaye wamemwandaa ionekane wanafuatilia anayemfuatilia makamu wa Chama kikuu cha Upinzani kwanini iwe hivi? Tuko hatua...
14 Reactions
12 Replies
431 Views
Nimevutiwa sana na namna msanii huyu Dudubaya anavyoweza kuvuta watu wa rika zote bila kutumia nguvu. Msanii huyu anao mvuto wa kipekee kwa miaka mingi. Nimependezwa na aliyebuni utaratibu wa...
7 Reactions
14 Replies
293 Views
Tabia za Ajuza sometimes 1)kupoteza kumbukumbu 2)Kutofanya kazi kwa ufanisi 3) kutokufuatilia mambo ya msingi,kutegemea watu wengine. 4)kukosa nguvu na Madini kupungua 5)Kukosa Mvuto. Ccm mna...
9 Reactions
24 Replies
403 Views
Ukiachilia mbali kukosekana discipline katika kueneza itikadi, sera na agenda za vyama hivyo vya siasa vya upinzani nchini, na pengine utamaduni usio na staha wa uropkaji, kutukana na kuporomosha...
2 Reactions
27 Replies
210 Views
Hypothetical budget Makamishina 6. Kila mmoja posho zooote....ie siting allowance, per diem, "salary "trànsport etc etc... yaani kama wabunge wanavyokula posho na mshahara......combine...
2 Reactions
3 Replies
74 Views
Ilianza siku 100 Ikafuata Tume ya Chande Zikapita purukushani za PM mikoani Hali ikawa tafrani waraka ukaja kutoka kila kona Waraka unaisha tarehe August 10 sisi tumekuja na tume Tume imepewa...
3 Reactions
9 Replies
235 Views
Wanabodi, Hii ni thread muendelezo wa uzi huu, Japo kwa Jinsia ni Mwanamke, Lakini kwa Mawazo, Maneno na Matendo, ni Mwanamume! Uamuzi Huu ni wa Kiume! Big Up Sana kwa Uamuzi Huu wa Kiume uzuri...
6 Reactions
26 Replies
481 Views
Hili ni swali fupi sana lakini linaweza kuwa na majibu marefu sana, Na kwa kweli Nchini Tanzania Watu wanatekwa na kupotezwa, Hilo halina Ubishi. Mambo haya yalipofanyika awamu ya 5 aliyeamuru...
19 Reactions
128 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…