Ndugu zangu,
" Maisha yetu huanza kuisha siku tunapoanza kunyamaza kwenye mambo yenye maana"- Martin Luther King Jr.
Leo Mei 3 ni Siku ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari Duniani. Hapa Afrika...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu gazeti la Mwananchi la leo.
Wiki iliyopita, mwandishi wa makala hizi, alifanya kosa moja, akaliombea msamaha, lakini bado aliadhibiwa kwa adhabu mbili tofauti...
Wanabodi,
wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na...
Jana nilipokwenda kuhudhuria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso.
Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo…
Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria...
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso.
Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo…
Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria...
Kwamba watu wanatekwa
Tanzania hii ambayo hatujawahi kushuhudia haya mambo. Labda Rwand na Burundi na Uganda ya Amini.
Inatisha na kama Taifa rais aingilie kati.
Kutoka kuwa kiongozi wa Juu wa CHADEMA hadi kuja kuzikwa na Watu 10, jambo hili haliwezi kupita bila kujadiliwa, na kwa kweli ni fundisho kwa Mamluki wengine akiwemo Yerricko na Said Isaah...
Tunajua nyie mmeshika mpini sisi tumeshika makali tunaomba sasa mwachieni Balozi Polepole tunaomba sana mwachieni Tundu Antipas Lissu hawa ni watanzania wenzetu tunapkosana na kukosea tujifunze...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kesho Mei 2 ataongea na Watanzania Makao Makuu ya chama saa sita kamili mchana! Kaa tayari kusikia atachokisema
MEI MOSI 2026📌
💡Rais amesema: “Ni wajibu wetu sote kushirikiana, kuaminiana na kutanguliza maslahi ya Taifa. Tuendelee kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na weledi ili kujenga uchumi imara na...
Sote tunajua dawa ya deni ni kulipa, kukaa na kujisifu bado unakopesheka sio sifa ni upumbavu
Au kwa kuwa bond umeweka nyumba ya jirani wewe halikuhusu kwamba jirani atalilipa so wewe kazi yako...
Inadaiwa kwamba ndiye aliyekuwa Mgombea mwenza wa kilichoitwa Uchaguzi wa Urais wa Oktoba 29 kwa ticket ya NCCR MAGEUZI, Maana yake alikuwa mwanachama wa chama hicho
Zaidi ya hapo hatujui LOLOTE...
Kijana au mzee mwenye uelewa mpana aje hapa atueleze ni kwavipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni /mikopo na kutegemea nchi nyingine azingatie Takwimu hizi
1. Idadi ya watu milion 67+
2...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026.
Rais Samia amezungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya...
Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana.
Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi.
Wananchi mpaka sasa wameichukia...
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026 ambapo amebainisha kuwa mazungumzo yalifanyika yaliyohusisha pia...
Maandamano hayo ya amani ya kitaifa, yazilaani AZAKI na vyama vya siasa ambavyo kwa makusudi kabisa, vilishiriki kuhamasisha na kuchochea fujo na maafa yaliyotokea Oct.29.2025.
Lakini pia...
Mh. Spika Refa kutoka Kenya Alichezesha vizuri na fainal ya Simba na Yanga kila mtu ameridhika.
Je hatuoni ni wakati sahihi sasa kuleta pia wageni katika nyanja mbalimbali kama Urais, Uwaziri...
Natoa wito kwa walimu Tanzania nzima kujiunga na Chadema na kuchukua kadi na kuichangia Chadema kwa gharama yoyote.
Haina maana walimu kuwa tunakatwa pesa nyingi kuichangia CWT wakati ni kibaraka...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wa Kenya Mheshimiwa William Rutto Anatarajiwa kuwasili Nchini kwa ziara ya kikazi Kwa Mualiko Maalumu Wa Rais wetu Mpendwa na Mbeba Maono wa Taifa letu Mheshimiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.