Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu, " Maisha yetu huanza kuisha siku tunapoanza kunyamaza kwenye mambo yenye maana"- Martin Luther King Jr. Leo Mei 3 ni Siku ya Uhuru wa Vyombo Vya Habari Duniani. Hapa Afrika...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu gazeti la Mwananchi la leo. Wiki iliyopita, mwandishi wa makala hizi, alifanya kosa moja, akaliombea msamaha, lakini bado aliadhibiwa kwa adhabu mbili tofauti...
1 Reactions
14 Replies
455 Views
Wanabodi, wale wenye access angalieni Star TV, kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, leo Mtangazaji Mahiri, Leonard Mapuli yuko na...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
  • Redirect
Jana nilipokwenda kuhudhuria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria...
6 Reactions
Replies
Views
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria...
3 Reactions
29 Replies
573 Views
Kwamba watu wanatekwa Tanzania hii ambayo hatujawahi kushuhudia haya mambo. Labda Rwand na Burundi na Uganda ya Amini. Inatisha na kama Taifa rais aingilie kati.
0 Reactions
7 Replies
154 Views
Kutoka kuwa kiongozi wa Juu wa CHADEMA hadi kuja kuzikwa na Watu 10, jambo hili haliwezi kupita bila kujadiliwa, na kwa kweli ni fundisho kwa Mamluki wengine akiwemo Yerricko na Said Isaah...
3 Reactions
11 Replies
324 Views
Tunajua nyie mmeshika mpini sisi tumeshika makali tunaomba sasa mwachieni Balozi Polepole tunaomba sana mwachieni Tundu Antipas Lissu hawa ni watanzania wenzetu tunapkosana na kukosea tujifunze...
2 Reactions
6 Replies
160 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kesho Mei 2 ataongea na Watanzania Makao Makuu ya chama saa sita kamili mchana! Kaa tayari kusikia atachokisema
6 Reactions
21 Replies
418 Views
MEI MOSI 2026📌 💡Rais amesema: “Ni wajibu wetu sote kushirikiana, kuaminiana na kutanguliza maslahi ya Taifa. Tuendelee kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na weledi ili kujenga uchumi imara na...
2 Reactions
3 Replies
151 Views
Sote tunajua dawa ya deni ni kulipa, kukaa na kujisifu bado unakopesheka sio sifa ni upumbavu Au kwa kuwa bond umeweka nyumba ya jirani wewe halikuhusu kwamba jirani atalilipa so wewe kazi yako...
5 Reactions
4 Replies
116 Views
Inadaiwa kwamba ndiye aliyekuwa Mgombea mwenza wa kilichoitwa Uchaguzi wa Urais wa Oktoba 29 kwa ticket ya NCCR MAGEUZI, Maana yake alikuwa mwanachama wa chama hicho Zaidi ya hapo hatujui LOLOTE...
7 Reactions
25 Replies
783 Views
Kijana au mzee mwenye uelewa mpana aje hapa atueleze ni kwavipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni /mikopo na kutegemea nchi nyingine azingatie Takwimu hizi 1. Idadi ya watu milion 67+ 2...
5 Reactions
19 Replies
258 Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026. Rais Samia amezungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi. Wananchi mpaka sasa wameichukia...
5 Reactions
8 Replies
307 Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026 ambapo amebainisha kuwa mazungumzo yalifanyika yaliyohusisha pia...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Maandamano hayo ya amani ya kitaifa, yazilaani AZAKI na vyama vya siasa ambavyo kwa makusudi kabisa, vilishiriki kuhamasisha na kuchochea fujo na maafa yaliyotokea Oct.29.2025. Lakini pia...
1 Reactions
2 Replies
126 Views
Mh. Spika Refa kutoka Kenya Alichezesha vizuri na fainal ya Simba na Yanga kila mtu ameridhika. Je hatuoni ni wakati sahihi sasa kuleta pia wageni katika nyanja mbalimbali kama Urais, Uwaziri...
11 Reactions
12 Replies
386 Views
Natoa wito kwa walimu Tanzania nzima kujiunga na Chadema na kuchukua kadi na kuichangia Chadema kwa gharama yoyote. Haina maana walimu kuwa tunakatwa pesa nyingi kuichangia CWT wakati ni kibaraka...
2 Reactions
5 Replies
209 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wa Kenya Mheshimiwa William Rutto Anatarajiwa kuwasili Nchini kwa ziara ya kikazi Kwa Mualiko Maalumu Wa Rais wetu Mpendwa na Mbeba Maono wa Taifa letu Mheshimiwa...
1 Reactions
15 Replies
270 Views
Back
Top Bottom