Umofia wana JF.
Nimeona nitoe maoni ya Mada ambayo imeleta taharuki ingawa kwa wengine waliipotezea tangu kuanza Mchakato wake.
Nimeona watu wakiongea sana kuhusu ripoti ya Judge Chande kuwa ina...
Wakuu
Benki ya Dunia imefuta mkopo wa dola milioni 150 ambao benki hiyo ulikuwa umeipa Tanzania kwa ajili ya kufadhili mradi wa REGROW, ambao ulikuwa na lengo la kupanua Hifadhi ya Taifa ya Ruaha...
Wanabodi
Kesho ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Habari
Leo tumefanya mjadala kuujadili Uhuru wa habari Tanzania na manguli
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, TEF, Deodatus Balile, Mwenyekiti wa...
Habari za muda huu wakuu,
Kuna taarifa rasmi imetolewa leo (Mei 2, 2026) kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, ikieleza ujio wa Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame.
Kwa mujibu...
Leo umetimia mwaka mmoja tangu Mdude Nyagali avamiwe nyumbani kwake na watu wasiojulikana ambao walimjeruhi na kisha walimteka na kuondoka nae mpaka leo hatujui wamempeleka wapi.
Mpaka sasa...
Kuna watu watafungwa kuna watu watanyongwa kuna watu wataenda jela (polepole September 14 Jumatatu saa 3 usiku na dakika 20)
Dalili zunaonesha muda sio mrefu hili litatimia kuanzia kwenye kelele...
Sugu amesema hakutaka Chalamila apande kwenye steji kwa sababu hakutaka mambo ya kisiasi yaendelee na ilikuwa ni show ya muziki tu!
Hii alichofanya Sugu ni kizuri sana maana Chalamila angeleta...
Kwa kuzingatia masharti ya Kifungu cha 37 cha Sheria ya Takwimu, kinachokataza utoaji na upotoshaji wa takwimu rasmi kwa nia ya kuwahadaa wananchi, Serikali inapaswa kuimarisha usimamizi kwa...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe Jumapili ya Leo
Wanabodi, msituone Waandishi wa Habari na Watangazaji wa Tanzania, kama ni waoga waoga, na vyombo vya habari vya Tanzania...
Ukurasa wa The Economist imeeleza namna Watanzania walikuwa na matumaini kuwa Samia Suluhu Hassan angeingiza jamii iliyo wazi zaidi. Sasa utawala wake wenye ukandamizaji unahatarisha mafanikio ya...
M-hali gani?
Kumekuwa na sintofahamu baada ya mwanadada huyu mlimbewende kutumbuliwa, hebu tujuzane iwe onyo au usikute kongole kwa vijana wengine viongozi.
Pia soma Dkt. Evaline Munisi ateuliwa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses...
Wanabodi,
Hii ni Makala yangu gazeti la mwananchi la leo
https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/kwa-nini-tunahitaji-kuulinda-uhuru-wa-vyombo-vya-habari-5417540
Hili ni Swali: Media tukiendelea...
Wanabodi
Leo ni Siku ya Kimataifa ya kuadhimisha Uhuru wa Habari. Kwa Tanzania, maadhimisho rasmi yanafanyikia jijini Mwanza, katika kuadhimisha siku hii kwa Tanzania tunaadhimisha nini haswa...
Viongozi wa vyama 13 vya upinzani nchini wamesisitiza msimamo wao wa kutokukubaliana na baadhi ya wananchi, wanasiasa, wadau wa masuala ya haki na wanaharakati nchini kutaka iundwe tume huru...
Maafisa Biashara wa Halmashauri wakija kwenye eneo la Biashara au Uzalishaji hawana msaada wowote kwenye biashara kama vile kukusaidia maboresho ya mazingira ya kazi, masoko na namna nzuri ya...
1. Hawezi kuja na hoja zenye uelekeo thabiti wa mabadiliko bali huja na mawazo ya Jumla Jumla tu.
2. Wakati wa kampeni zilitoka tuhuma dhidi yake za hisa kwenye mashimo ya dhahabu. Hazikujibiwa...
Kamati ya Bunge Yashauri Serikali Kukamilisha Ujenzi wa Ofisi za TAKUKURU
Dodoma – Kamati ya Bunge imeitaka Serikali kuhakikisha inakamilisha ujenzi wa ofisi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...
Mbunge wa Kigoma Mjini Clayton Revocatus (Baba Levo), amesema hayo Mei 2, 2026 wakati akifanya mahojiano katika kipindi cha Medani za Siasa kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.