Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Lushoto, mkoani Tanga, Jerida Ramadhan Hosha, amejitokeza hadharani na kumuomba msamaha Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, John Heche, pamoja na Chama kwa ujumla, baada...
5 Reactions
19 Replies
556 Views
  • Redirect
Binti wa kwanza June Ruto ni mke wa Dr. Alexander Ezenagu Minigeria. Charlene binti yake mwingine anaeolewa na Isaya Yumbe Mtanzania Pamoja na kutudharau Watanzania wakajifanya mashapu, inakuwaje...
1 Reactions
Replies
Views
Yaniuwia vigumu kukaa kimya napoitazama Zanzibar ya leo. Kuna hali ya kibaguzi kwa baadhi ya Viongozi wa vyama vya Siasa na Serikali ya Zanzibar ambao kama kwamba bado wanaishi karne ya 15...
0 Reactions
2 Replies
67 Views
Mmoja wa waasisi wa kundi mashuhuri la Wabunge 55 (G55) na Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kyela, Lumuli Alipipi Kasyupa, amefunguka kuhusu ujasiri waliokuwa nao wa kumpinga Baba wa Taifa, Mwalimu...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UCHUKUZI MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA TAARIFA KWA UMMA TAARIFA POTOFU INAYOSAMBAA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII KUHUSU HALI YA BARIDI HAPA NCHINI...
1 Reactions
1 Replies
81 Views
Naval blockade ni mbinu ya kijeshi ambapo nchi hutumia meli za kivita kuzingira na kufunga bandari au ukanda wa bahari wa nchi nyingine. Lengo ni kuzuia meli zote, bidhaa, silaha, au watu kuingia...
4 Reactions
3 Replies
72 Views
Tangu nchi hii ipate uhuru, hakuna awamu ambayo taifa limepata hasara kubwa na ya kutisha kutokana na wizi na ufisadi wa kiwango cha juu kama awamu hii ya Kikwete. Ni katika awamu hii wanyama...
38 Reactions
465 Replies
49K Views
  • Featured
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema chama hicho kimepanga kufungua kesi mahakamani kupinga baadhi ya vipengele vya Sheria ya Fedha wa mwaka 2026, kikidai kuwa...
9 Reactions
25 Replies
720 Views
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimekataa rasmi kuitambua Tume ya Rais iliyoundwa kuchunguza matukio ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, kikisisitiza kuwa...
18 Reactions
38 Replies
538 Views
Miaka ya themanini huko iringa palikuwa na mbunge anaitwa Tuntameke Sanga. Mheshimiwa Tuntameke Sanga alipeleka mara kadhaa hoja mbungeni akiomba jimbo lake WANANCHI waruhusiwe kulima bangi...
11 Reactions
60 Replies
2K Views
Utawala wa Samia una damu kubwa sana ya watanganyika Kuanzia waliotekwa mpaka waliouwawa 29octoba2025 hivyo utawala wake utakumbukwa kama utawala wa mwanamke muovu kuwahi kutokea katika taifa...
2 Reactions
8 Replies
93 Views
Idd Amin na Reich Fuhrer Adolf Hitler walianzisha vikosi hivi nje ya polisi.jeshi usalama wa taifa nk nje ya mifumo yote isipokuwa uwajibikaji ni kwa wao tuu. Ujerumani ilisimamiwa na Heinrich...
4 Reactions
12 Replies
142 Views
Tume ya kwanza haikutosha kumfunga paka kengele! Hii ya pili naona Ina kibwagizo "tujue nani alietoa fedha za kusababisha vurugu za uchaguzi" Kwa kauli hii nadhani Kuna MTU anatafutwa abebeshwe...
5 Reactions
38 Replies
712 Views
Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu. Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia...
14 Reactions
70 Replies
958 Views
JF Video ya sekunde 16 inagoma ku upload hebu na nyie wekeni miundo mbinu yenu vizuri….yaani Video sekunde 16 inagoma ? Wakuu mko serious ?
0 Reactions
3 Replies
111 Views
Tanzania kuna miji iliendelea kabla ya mkoloni na leo ingekuwa mbali lakini ni kama haisogei maendeleo yake yaleyale inasonga kidogo japo nchi imepata uhuru ilikuwa juu. 1. Moshi Huu mji ulianza...
11 Reactions
58 Replies
1K Views
Heshima sana wanajamvi, Kati ya mambo yaliyonisikitisha ni mwaka huu ni mradi wa ujenzi kuhamishiwa Mombasa. Nilimsikia Rais Ruto na baadae Rais Samia. Kauli ya Dangote ya kupeleka mradi Kenya...
3 Reactions
13 Replies
107 Views
Drama zinaendelea drama zinaendelea Wapili kaandikiwa barua ajiuzulu! Wapili kagoma! Je, watamfanya Nini? Je, wanajua kwanini anajiamini? Wanamtandao kazi mnayo mwaka huu mtauana na kumalizana.
11 Reactions
37 Replies
928 Views
Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…