Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara wa CHADEMA, Katoro, Geita. John Heche, amesema,
Nataka niwaambie ndugu zangu, huwezi kuua ndugu zako halafu mambo yakaisha. Kaini alipomuua ndugu yake...
Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani kupitia Chama Cha Wananchi CUF Nassim Yahaya Upete ameendelea na Kampeni za kuomba ridhaa kwa wananchi kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Ismani katika Kata ya Kising’a...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba leo CHADEMA iko Geita Mjini kwenye ile kampeni yake ya Katiba Mpya na Free Lissu
Kwa umati uliojitokeza ni dhahiri Nyahoza yuko Sahihi kuifutilia mbali
Dereva wa Kenya Nelson Wanjohi Kirika, mkazi wa Kenya nchini Afrika Kusini Edward Mwangi Mwai, na Aziz Hama, raia wa Tanzania (kutoka kushoto kwenda kulia) wamefikishwa rasmi mahakamani leo...
Kama ni hatua Kali zichukuliwe kwa hawa viongozi wa chadema wamekuwa wakitoa kauli ambazo zimekosa uzalendo ambazo ni kichocheo cha VURUGU.
Hata mwaka Jana wahusika wakuu ni viongozi wa chadema...
Real Stephen Wasira, bado anatumwa kuiubili injili ya ccm na mauaji yaliyojitokeza 29.10?
Dr. Samia soma alama za nyakati huyo atumwe kigoma, sumbawanga, mbagara ILA akija Kilimanjaro tafadhali...
TAMU: Mimi binafsi chuo cha ualimu kilinijengea maadili ambayo mpaka sasa yananifanya niaminike na jamii inayonizunguka. Asante sana wakufunzi wangu.
Chungu; vishawishi vya kimapenzi aisee...
Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, ameweka wazi mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta ghafi (Refinery) kitakachohudumia...
Binadamu ni wabinafsi sana. Kuna watu wanafanya mambo utadhani wataishi milele hapa duniani. Tukiwa hatujapoa na ile ya mtoto wa Mombo kutuoneshea dole la kati akiwa kabeba maburungutu ya...
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama...
1. Mheshimiwa Paul Peter Kimiti (Mbunge Mstaafu -Sumbawanga Mjini) ni mwanasiasa mkongwe nchini, nusura aule nafasi ya Waziri Mkuu. Ila kutokana na kukosa kifua akaenda kuropoka kwa mkewe na mke...
Wanaukumbi.
(✍️ MAANDAMANO YA DIASPORA YAMEBUMA.. NI HUZUNI NA AIBU..
Maandamano ya wanaojiita diaspora huko Marekani yamebuna vibaya sana na kwa kweli ni huzuni tupu.
Tumekuwa tunawaambia muda...
Hamjambo Wote!
Moja ya changamoto tulizonazo Watanzania na watu weusi ni kukimbia wajibu(uwajibikaji). Utegezi. Uvivu.
Fikiria Mwanamke anaona wajibu wa maisha yake, mahitaji Yake ya msingi ati...
Ni mtu ninayemfahamu na kwa kweli nimekuwa naye n.a. kufanya naye SIASA ndani ya Chadema Kwa muda Mrefu kabla hajajiuza
Lakini kwa sasa anayoyaandika mtandaoni kuhusu Chadema hata viongozi wake...
Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake...
Pamoja na wote wanasiasa wanajaribu kufuata trend ya wananchi. Kwasasa tred ipo kwenye kudai haki, kupinga sheria mbovu, kupinga utekaji, undugu, u bara na u zanzibari, kupinga rushwa na kutaka...
Ni mmoja ya watu ambao wapo CCM lakini wana akili. Huwa ni mara chache sana hawa watu kuwa CCM na wakaendelea kutumia akili.
Tumsupport huyu jamaa britanicca kwa kuonesha mapenzi makubwa kwa...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameshiriki mazishi ya Marehemu Boniface Makene, aliyewahi kuwa Mwandishi wa Habari wa Makamu wa Rais Mstaafu wa...
Eti wadau tiririkeni hapa. Kwa malalamiko yetu ya kila siku dhidi ya ccm na siasa zetu, ungependa nchi yetu iwe na siasa kama za nchi gani duniani na kwa sababu zipi?