Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,743
32,539
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Turkish, Ethiopian, Air France, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka hapa Unguja tunaendekeza ufedhuli.

NB: Hapa unguja tunakwama wapi?
 
Wakiacha ubaguzi wa kidini na kimuungano, kujiona wao ndio watu special kwenye uislamu watatoboa... Lakini kama wataendelea kujiona waislam safi wasahau kutoboa

Maendeleo ya sasa hayahitaji uwe na msimamo 100% katika dini

Wawaangalie wenzao Saudi, Omani, Dubai, Qatar
 
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria A380 linatua daily kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Mauritius ni Wahindu kwa asilimia kubwa. Wahindu hawafukuzi watalii kisa mtalii kalalamika gari limebandikwa stiker ya free Palestina
 
Ukiondoa ubaguzi na bughdha za ajabu ambazo hazipatikani kule ni pamoja na.

1. Mauritius in visa free almost kwa nchi nyingi sana duniani, Hivyo mtali hahitaji visa kwenda tofauti na Tanzania ambapo unahitajika kufanya visa application kama unatoka baadhi ya nchi.
2. Kuna mkono mkubwa wa France katika nyanja nyingi za Mauritius, Ndio maana wapo mbali.
Nk.
2022 rafiki yangu Mzambia alikataa kufanya utali Tanzania na kuelekea Mauritius, nilipomuuliza kwanini alisema anaona Mauritius wapo vizuri kuliko Zanzibar.
Japokuwa ni maamuzi binafsi lakini kama mzalendo kwa namna moja ilinikwaza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom