Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watu wa karibu na Samia Suluhu Hassan wanapaswa kumshauri kwamba rais si tu kiongozi wa nchi, bali pia ni taswira ya hisia na matumaini ya wananchi. Kuna wakati wananchi hawahitaji hata suluhisho...
1 Reactions
3 Replies
148 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka viongozi wa chama na serikali kuepuka kiburi cha madaraka na badala...
2 Reactions
3 Replies
124 Views
Kufuatia uzinduzi wa Mpango wa Kitaifa wa miaka mitano wa Chanjo na Utambuzi wa Mifugo uliofanywa na Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Juni 2025 mkoani Simiyu Region, Wizara imeendelea kuimarisha...
1 Reactions
3 Replies
96 Views
Malengo ya waasisi wa CHADEMA yalikuwa ni kukijenga chama kwenye misingi imara ya kisiasa nchini kikisimama kama taasisi kuu ya upinzani iliyokusudiwa kutoa ushindani wa kisera na kuwa mbadala wa...
2 Reactions
8 Replies
279 Views
Hii sasa ni Taarifa rasmi kutoka Kanda ya Nyasa Bilionea Sugu atatoa elimu kuhusu Tume ya Chande n.a. Utekaji yakiwemo na Mauaji Katika Mkutano huo orodha ya Watu wote Waliouawa Kyela kuanzia...
4 Reactions
16 Replies
249 Views
My friends, ladies and gentlemen, Sote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa amani na utulivu wa nchi yetu kisiasa, kijamii na kiuchumi tangu tumalize uchaguzi mkuu wa kihistoria Oct.29.2025, unaendelea...
0 Reactions
46 Replies
584 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026 Mwandishi: "Unadhani ni kwa nini...
2 Reactions
1 Replies
150 Views
Amehudumu katika nafasi moja tangu mwaka 2013(miaka 13!). Amefanya kazi chini ya marais watatu bila kuondolewa kwenye kiti chake au hata kunyooshewa kidole na mtawala yeyote wakati wowote. Wote...
0 Reactions
7 Replies
212 Views
NJIA RAHISI YA KUIFUTA CHADEMA: AANDIKA ASKOFU BAGONZA Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya Msajili wa Vyama Vya Siasa kuiandikia barua Chadema...
9 Reactions
13 Replies
615 Views
  • Redirect
Anaandika Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia ukurasa wake wa Facebook Watu wengi uraiani, vijiweni na serikalini wameniuliza nitoe maoni juu ya hatua ya...
0 Reactions
Replies
Views
Akiongea kwenye hafla ya uzinduzi wa Ujenzi wa uwanja wa Yanga leo, Mkuu wa Mkoa wa DSM ameitaka Yanga kutoiombea mabaya Simba ili ife bali waombe iendelee kuwepo ushindani uwepo, kasema Yanga...
3 Reactions
3 Replies
121 Views
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Njombe, Neema William Mgaya, ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza kasi ya kutafuta masoko mapya ya utalii duniani badala ya kutegemea masoko ya...
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Eti kama anataka kutoa ushauri awe anaenda Ikulu. Je kama ushauri anaoutoa fargha unapuuzwa? Kwa nini asiyatoe yake ya moyoni Mzee Warioba. Vipi kuhusu mstaafu aliyepitisha mgombea kibabe mwezi...
7 Reactions
10 Replies
368 Views
Katika zama hizi za AI kama OpenAI ChatGPT, nyie mnampimaje uwezo wa kiongozi wa chama tawala au upinzani? Maana leo hii wote wanaweza kutafuta hoja kali, hotuba nzuri na majibu ya kisomi kupitia...
0 Reactions
12 Replies
185 Views
Ni ajabuWaziri wa katiba na Sheria kutaja jina, eneo, mtu alikokuwa anafanyia kazi na namba ya simu ya mteja anayemuhudumia, haoni kuwa anavunja sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za mtu. Au...
0 Reactions
2 Replies
150 Views
Watu wengi wanapozungumzia nguvu ya mabadiliko ya kisiasa huwa wanakimbilia sana kuipa nguvu Generation Z kwa sababu ndiyo wanaonekana zaidi mtandaoni. Lakini ukiangalia kwa undani historia ya...
2 Reactions
8 Replies
225 Views
Baada ya uchaguzi na mijadala ya kisiasa, kulizuka wimbi kubwa la hasira mtandaoni ambapo baadhi ya vijana walitangaza kuwasusia wasanii waliodaiwa kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi. Mitandaoni...
0 Reactions
5 Replies
120 Views
OFISI YA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA IDHIBITIWE KABLA HAIJASABABISHA MAAFA KWA MARA YA PILI. Tumeshauri sana na tunaendelea kushauri. Ofisi ya Msajili wa Vyama ndiyo chemichemi ya vurugu za...
6 Reactions
26 Replies
622 Views
Back
Top Bottom