Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wana JF. Mosi, naomba moderator usiunganishe huu uzi na nyuzi zingine zinazoongelea CCM. Huu ni uzi mahsusi. Facts: 1. Tanzania ni nchi maskini sana katika viwango vya kimatataifa licha ya...
8 Reactions
25 Replies
215 Views
Tafakari kesi ya Lisu inavyoendelea......................................... Anyway kesi ikiwa mahakamani wanasema tusiijadili....
1 Reactions
1 Replies
74 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, siku za Jumapili, nikiwa nimejimpumzikia home baada ya ibada, kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za KMT, kwa maslahi ya taifa, ambazo ni za kuwafunda...
33 Reactions
362 Replies
18K Views
Maswa, Simiyu: Wakulima wa pamba wilayani Maswa wameonywa kutokubali kuuza pamba kwa mkopo, bali wahakikishe wanalipwa fedha zao mara moja baada ya kukabidhi zao katika vituo vya ununuzi. Mkuu wa...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Huyu hawezi kuruhusiwa kurudi CHADEMA na nitafanya kampeni Maalum kwenye Kamati Kuu kuhakikisha harejeshwi Halima ndio nguzo kuu ya Covid 19, ndio mpanga njama mkuu akishirikiana na Usalama wa...
44 Reactions
214 Replies
4K Views
Wakuu, Boni Yai ameendelea kumwaga siri za G55 kwenye press yake ya leo. Akiwa anazungumza leo , Boni Yai amesema kuwa Mchome alikuwa anakaa kwenye hoteli moja huko Sinza na akashindwa kulipa...
31 Reactions
147 Replies
10K Views
Aliyeshinda kapewa aliyeshindwa kasema asante’ "Jambo jingine ninalotaka kuzungumza ninyi ni kulinda amani na utulivu wa nchi yetu. Nawapongeza na kuwasalimu Wazanzibari mwaka huu. Tumefanya...
2 Reactions
20 Replies
520 Views
Kamishina msaidizi wa polisi Amini Mahamba aliyekuwa ameandaliwa na upande wa jamuhuri kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Lissu amekufa hata kabla ya october 29 Mwinjilisti Kamara Kasupa...
11 Reactions
18 Replies
641 Views
Wakuu, Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu itaendelea kesho Agosti 11, 2026 saa tatu asubuhi katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam ambapo ndipo shauri hilo...
6 Reactions
9 Replies
586 Views
Mimi nadhani ni heshima kubwa na Uzalendo kwa mtu kuitwa kwa Utaifa wake, Sioni haja ya kuficha Utaifa wa mtu kwa sababu zozote zile. Kwa nia njema kabisa naweka nyaraka za wazi za Uzanzibar wa...
30 Reactions
174 Replies
12K Views
Kwa yaliyokutokea liwe Fundisho kwamba, wanapotekwa wengine tupige kelele pamoja. Nitakutafuta nikupe pole ya Ana kwa Ana utakaporudi kuzika Kwa Kukumbusha tu ni Kwamba Mh Temba ni miongoni mwa...
30 Reactions
108 Replies
3K Views
Mtu yeyote atakayekuja anaungana na sisi kwenye madai ya katiba huyo tuko pamoja naye, kama anazungumza lugha moja na Wananchi na Watanzania huyo tuko pamoja naye, "Bw. John Heche - Makamu...
1 Reactions
7 Replies
136 Views
Kwa mtazamo wangu maandamano yanaweza kuwa na maana zaidi pale yanapokuwa na kundi maalum lenye madai yanayoeleweka na yanayohusu moja kwa moja maslahi yao kwa mfano wafanyakazi, wanafunzi...
0 Reactions
3 Replies
47 Views
Moja ya jambo baya kwa viongozi ni unafiki na ndo umelitafuna taifa letu kama cancer. Vyama vya upinzani tunaamini Kuna siku vitapewa nafasi ya kuongoza nchi yetu . Hivyo tunapoona kabla ya kupewa...
3 Reactions
32 Replies
347 Views
Tusaidiane mlioko Dar mahakamani mtupe dondoo kidogo.
2 Reactions
24 Replies
791 Views
Taarifa yao waliyoisambaza kote Duniani hii hapa Kwa wasiojua lugha ya madafu hii hapa chini ni ya kimombo
21 Reactions
63 Replies
1K Views
Hivi inaingia akilini kwamba mwenyekiti wenu yupo mahakamani kwa kesi kubwa kuliko zote nchini na mnapuyanga tu kuujulisha umma maendeleo ya kesi? Nini sasa kipo serious kwenu? Mnajua hisia...
6 Reactions
5 Replies
106 Views
Serikali imesema uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika na kwamba uwekezaji katika sekta mbalimbali, hususani madini, gesi, nishati, kilimo na miundombinu, unatarajiwa kutoa msukumo mkubwa kwa...
0 Reactions
1 Replies
37 Views
Hallelujah! Bado nakusanya ripoti. Bado najifunza na nitaendelea kuwafundisha. Kuna msemo maarufu usemao, usiingilie ugomvi wa wazazi, msemo huo upo kwenye level ya kifamilia. Watoto wengi...
8 Reactions
21 Replies
347 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…