Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasilisha maombi mbele ya Mahakama ya Rufaa akiomba kusikilizwa kwa haraka kwa kesi yake ya uhaini.
Kesi hiyo iliahirishwa wiki tatu zilizopita baada ya...
Ndugu wabaya wangu kokote mliko, nawasalimu.
Halafu nataka kusema hivi, naomba tusitengenezeane habari za uongo uongo kwa malengo binafsi. Kama ni habari inayonihusu mimi, naweza kuisema mwenyewe...
Tanzania: Wakuu wa Majeshi na viongozi wengi wakuu wa serikali sio wazalendo. Kati ya wazalendo ni hawa hawanufaiki lolote kipesa kwa wanayofanya
1. Huwezi kuwa Mzalendo na mwizi wa kura halafu...
Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara imeamuru kufilisiwa na kufungwa rasmi (winding up) kwa Sahara Media Group Limited, kampuni ya Kitanzania inayojishughulisha na vyombo vya habari, huduma za...
Mwaka 235 A.D kule Roma aliuwawa Kaisari aitwaye Severus Alexander. Aliuwawa kwa hila za majasusi wake waitwao The Praetorian Guard ambao walikuwa ndiyo kikosi cha ulinzi na ujasusi cha watawala...
Wanabodi,
Bado niko hapa mjini Dodoma, nikijivinjari katika viwanja vya Bunge kwa haya na yale.
Japo mpaka sasa kitendawili cha Waziri Mkuu bado hakijatenguliwa, nimeonelea niwatajie baadhi ya...
Dini zote kitu cha Kwanza ni kuhubiri Haki, kama za Yatima, Wajane n.k. sasa hivi nchi yetu ina Kesi ya "Uhaini" ambayo Kwa sasa imesimama Kwa muda Mrefu tokea ilipo aanza, hivyo kusababisha Haki...
Tangu alipoingia hayati Samwel Sitta kushika Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kila Spika alishika kwa term moja tu.
Sitta 2005 - 2010
Makinda 2010-2015
Ndugai 2015-2021
Tulia...
Waarabu ndio waliomfukuza mtume kutoka Makka na kumfanya akimbilie Madina.
Waarabu ndio waliowatesa waliosilimu na kuwapa adhabu kubwa.
Kwa hivyo asili ya waarabu wakipinga uislam.
Kwa hivyo...
Miongoni mwa vitu vya ovyo kabisa hapa Tanzania ni uwepo wa mipango miji na wataalamu wa mipango miji. Hivi vitu havina faida yoyote hapa Tanzania na hapa napendekeza vifutwe haraka sana. Sihitaji...
Mpaka ninapoandika uzi huu, chama kilichoua Watanzania zaidi ya waliokufa kwenye vita ya Uganda hakina pa kujishika wala kuchutama.
Kila mbinu inaenda kugonga ukuta. Sasa ameibuka Profesa...
Mbunge wa Kisarawe, Selemani Jafo, akizungumza Bungeni Februari 5, 2026, ameishauri Serikali kuvunja maeneo ya pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam, yakiwemo Buguruni, Vingunguti na Tandale, ili...
Cheche za maneno, mirengo mipya ya kisiasa na ubabe wa vyama tayari imeanza kusheheni nchini Kenya, miezi 14 tu kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2027.
Miongoni mwa viongozi wanaogonga vichwa vya...
Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC David Kafulila amesema kuwa muwekezaji anaweza kupewa vivutio ikiwemo kuchangiwa mtaji endapo atawekeza kwenye ubia ikiwa ni pamoja na dhamana za...
Waziri wa zamani na kada wa CCM Profesa Anna Tibaijuka ameitabiria ushindi CHADEMA, akisema katika misukosuko inayopitia ikiwa pamoja na tishio la kufutwa, chama hicho kitashinda.
Katika andiko...
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limefanya uchaguzi wa kumchagua Spika wa Bunge la 13. Kikao hicho kinaendeshwa na Spika wa muda William Lukuvi, akisaidiwa na Katibu wa Bunge Baraka...
Eid Mubarik ndugu zangu kutoka pande zote Roma hadi Madina !!
Quote of the Day " Never argue with stupid people they will drug you down to their level & beat you with experience" ~~Mark.
Let's...
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika.
Unaremote...